LGE2024 Nkasi: Wanaodaiwa kutumwa na DC kulipua nyumba ya Mbunge Aida Kenani wakamatwa. Walitumia ‘pikipiki za Samia’

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kama wametumwa na DC mathematically wametumwa na Rais.. maana DC anamuwakilisha Rais kwenye hiyo wilaya
 
Hizo tuhuma zingehusu vijana wa chadema kwanza wangula kichapo kikali kicha kugawanywa na kuwazungusha mkoa mmoja baada ya mwingine vituo vya polisi wakisubiri amri kutoka juu
 
Piga kama paka mwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…