Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS

Huyu jamaa ameulizwa maswali personal sana na huyu odemba ila aliwez kucontrol vyem
 
"Si kweli" vipi?

Unapingana na andiko lako hapo juu #3?
Kuwa na akili timamu ni gift tosha Toka kwa Mungu

Hayo mengine kuwa kada wa chama Fulani ni ziada

Tunaishi vizuri kwa amani ingawa siyo ccm
 
Yeyote anaye jihusisha na CCM wakati huu, huyo mtu siyo 'smart' hata kidogo
Huyo ni mtafuta fursa tu kupitia hiyo TLS
 
Hivi usmart wake mmeupima kwa lipi? Kwa haya mahojiano ambayo anajua anachokifanya kwa wakati huu! Nadhani wengie mmemfahamu kipindi hiki, alipwaya sana ktk nyadhifa zake za nyuma. Msiwe wasahaulifu
 
Kwa
Akili yakokuikosoa serikali ni siasa! Pole sana na uzao wako. Basi we wajua kazi ya bunge ni kutunga Sheria TU!
 
Huyu jamaa ana skendo ya kutekeleza watoto wake aliyozaa na Mke wa kwanza kisha kumtimua baada ya kupata mchepuko.

Hajawahi kudhubutu kujibu hii, licha ya kupigiwa kelele na wenzake huko.

Uraisi ni lazima uendane na cleanness of ethics.
 
Kwa kweli kuliko mwambukusi ambaye ni mwanasiasa wa cdm,na kitu ambacho mawakili watabugi ni kumpa kura mwambukusi
 
Kwa sifa hizi tushajua atakuwa mgombea wa mrengo Gani

Hatufai katika harakati za ukombozi
Wacha aendelee kutetea mfumo
Tukiisha kuikomboa nchi naye atakula matunda
Alishindwa kujibu maswali kabisa Siku ile ila kampeni inayoendelea utadhani Jamaa ni malaika
 
Nami nampa kura Mwabukusi
 
Nkuba anafaa kuwa katibu wa CCM wa wilaya, huku TLS hatufai kwa 100%. Makada wa CCM na TLS wapi na wapi?
 
Mwabukusi sisi wote tunamjua na tunajua uwezo wake, anafaa kuongoza TLS. Hao wengine hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…