Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Mie namkubali KAUNDA!boniface mwabukusi anafaa na ndie atashinda, ila huyu mshikaji nae nimemuon he is so smart!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie namkubali KAUNDA!boniface mwabukusi anafaa na ndie atashinda, ila huyu mshikaji nae nimemuon he is so smart!
Huyo ni chawa hana u smart wowote zaidi ya uoga wa kutaka Rais amuone ni mwema na mtu muungwana….huyo la chama kigeuzwe chama cha mapinduzi! TLS inatakiwa kuhakikisha watu wanapata haki kwa kuikemea serikali…huyu awezi…..Nimefatilia kwa undani sana huu mdahalo wa TLS election candidates, na namfahamu sana nkuba na bwana boniface mwabukusi.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
View attachment 3054487
Naunga Mkono HojaNimefatilia kwa undani sana huu mdahalo wa TLS election candidates, na namfahamu sana nkuba na bwana boniface mwabukusi.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
View attachment 3054487
Fujo gani walizoleta?Pamoja namkubali boniface kama mwanaharakati mzalendo naona angetafuta platform nyingine kufanya siasa. Chama cha sheria tanzania TLS ni chama cha kitaaluma haifai kukitumia kuendesha harakati za kisiasa. Tuliona lissu na baadae fatma karume wakileta fujo na kuhatarisha mstakabali wa TLS.
Mmeanza kuwapigia promo Makada wenu wa CCM.kwani yeye ana lipi jipya wakati ccm ni ile ile?yeye kafanya nini kabla ya kuomba nafasi hiyo?Mwabukusi ndio mtetezi wa wananchi na maccm ni majuzi tu ndio maana yanaiba mpaka pensheni za wastaafuNimefatilia kwa undani sana huu mdahalo wa TLS election candidates, na namfahamu sana nkuba na bwana boniface mwabukusi.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
View attachment 3054487
Wewe unaishi "vizuri kwa amani" chini ya CCM?Kuwa na akili timamu ni gift tosha Toka kwa Mungu
Hayo mengine kuwa kada wa chama Fulani ni ziada
Tunaishi vizuri kwa amani ingawa siyo ccm
Yote sijaongea hayo. Unajua nyie mnafanya uchaguzi kama vita. Hayo ni maoni, hayana maana ndio kura au ushindi...alafu mnaleta uhasama sana wa uchama. Sipendi kweli hili. Hawa ni mawakili sio wanasiasa.Mmeanza kuwapigia promo Makada wenu wa CCM.kwani yeye ana lipi jipya wakati ccm ni ile ile?yeye kafanya nini kabla ya kuomba nafasi hiyo?Mwabukusi ndio mtetezi wa wananchi na maccm ni majuzi tu ndio maana yanaiba mpaka pensheni za wastaafu
Anakosa sifa muhimu za kiongozi.Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
Tatizo kubwa la Wakili Nkuba ni kujikweza, yaani kujiona maarufu. Yaani siku ile alipoanza kuongea eti kila alikopita amekuwa kiongozi tena kwa kuchaguliwa that was a bogus statement kabisa, watu hawataki kusikia uliwahi kuwa kiongozi watu wanataka kusikia ulifanya nini kwa nafasi yako uwe kiongozi ama la, na Wakili Mwambukusi aliliweka hilo vizuri. So Wakili Nkuba he is a doomed failure kila sehemu kama hatoliona hilo.Nimefatilia kwa undani sana huu mdahalo wa TLS election candidates, na namfahamu sana nkuba na bwana boniface mwabukusi.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
View attachment 3054487
Mtu hajawahi kutetea Wananchi mfano huko ngoro ngoro ,n.k unasema anafaa Kwa misingi ipi?Nimefatilia kwa undani sana huu mdahalo wa TLS election candidates, na namfahamu sana nkuba na bwana boniface mwabukusi.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
View attachment 3054487
Sawa, Mpeleke kwako akakuongozee familia Yako na keo ,Nimefatilia kwa undani sana huu mdahalo wa TLS election candidates, na namfahamu sana nkuba na bwana boniface mwabukusi.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
View attachment 3054487
Laisi wa mioyo ya waliomtakaNimefatilia kwa undani sana huu mdahalo wa TLS election candidates, na namfahamu sana nkuba na bwana boniface mwabukusi.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
View attachment 3054487
Pole sana, wamemchagua anayewafaa.!Nimefatilia kwa undani sana huu mdahalo wa TLS election candidates, na namfahamu sana nkuba na bwana boniface mwabukusi.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
View attachment 3054487
Jifunze kusoma, sijaongelea Lazma ashinde bali iwapo hata. Usikurupuke kama upo Instagram hapa.Pole sana, wamemchagua anayewafaa.!
Jifunze kusoma, sijaongelea Lazma ashinde bali iwapo hata. Usikurupuke kama upo Instagram hapa.Laisi wa mioyo ya waliomtaka
Jifunze kusoma, sijaongelea Lazma ashinde bali iwapo hata. Usikurupuke kama upo Instagram hapa.Mtu hajawahi kutetea Wananchi mfano huko ngoro ngoro ,n.k unasema anafaa Kwa misingi ipi?
So tunamjua Mwambukusi anayesimamia kesi za Wananchi bila kulipwa.
Huyo kama ni mzuri mpeleke kwako akakuongozee familia Yako na mkeo.
Sisihatumtaki hasta kumsikia.
Kulileta tu Hilo jina la nkumba wako huku tayari ni kosa,Jifunze kusoma, sijaongelea Lazma ashinde bali iwapo hata. Usikurupuke kama upo Instagram hapa.
Next time kwenye majukwaa kama haya, punguza hasira na ukali wamaneno, Na utoe maoni yako, or else tafuta thread zenye fujo. Bila hivo Ntakuchukua wewe na mama yako mje kuongeza familia kwangu.