NMB acheni wizi kwa wateja wenu

NMB acheni wizi kwa wateja wenu

Hawa jamaa hata ukiangalia balance tu kwa app imekwenda wanakata yan nilikuwa sijui ila nikashangaa mbona kuna hela zinakwenda sijui zinakoenda kuja kustuka ni app kuchek salio na mim nilikuwa natumia nikijua bure kama tigopesa app na mpesa app kumbe sivyo

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wajinga sana , ni wachumia tumbo pumbavu zao yani wanapokaa na kuesbu pesa hawajui watu wamepiga vipi zifisha kwao
 
Mkuu fanya mwamala mmoja pitia app yao utashangaa
Hawa mambwa wa NMMb wamekula 3,500 kwenye 4,500 iliyokuwepo. Sitaweka pesa benki kwa huu upumbavu acha nitumie njia za kijima kuhifadhi hela. Hivi mtu akiweka hela benki haiwatoshi wao kuwakopesha watu wakapata na faida hadi waweke makato ya kiduanzi. Nawaonea huruma sana wafanyakazi wa serikali maana hawana la kufanya. Mambwa nyie Nmmmb
 
Nchi ngum Sana
Mwananchi anawindwa kila kona..kama ngiri porini.

Huku bei ya mafuta juu, kule bei ya nauli usiseme, mara tozo zisizoeleweka za kibenki kama hizi na nyinginezo.
Zote hizo anabebeshwa Mwananchi ambaye kipato chake ni duni na pia setikali imekataa katakata kuongeza 'tumshahara twao', jambo ambalo ni sawa na kuiba nguvu za walalahoi ili kulipa 'mideni' wanayokopa kila uchao.
 
Ndugu zangu kila mmoja kwa imani yake popote mlipo, amani ya Bwana ikawe juu yenu.

Rejea kichwa tajwa hopo juu. Why NMB Bank mnatenda hivi?

Ni kweli mmekuja na app yenu on line, nawapongeza kwa hili, ila kumbukeni mteja na app yenu atachukua pesa kwenda na pesa yake na atatoa kwa wakala, mnajua hilo?

Why kwa mteja wenu ambae anatumia NMB APP kumtoza kiasi kikubwa cha fedha na ukizingatia anatumia pesa pia kununua kifurushi kuingia kwa app yenu achilia mbali kutoa kwa wakara bila kujali ni aina ipi ya mtandao wa sim.

Hivi mmekaa na kufikiri ni namna gani mnawaumiza wateja wenu, au mwafikili kupata maokoto tu.

Niseme acheini mara moja kuwaumiza watz vinginevyo vikampuni vyenu vitakufa , nanyi kufa mdomo wazi asema Bwana.

Thanks
Roho ya kimasikini kabisa hii, hiyo app NMB nao wanalipia au hujui?
 
Nchi hii uhuni mwingi sana ,pole mkuu
Hawa mambwa wa NMMb wamekula 3,500 kwenye 4,500 iliyokuwepo. Sitaweka pesa benki kwa huu upumbavu acha nitumie njia za kijima kuhifadhi hela. Hivi mtu akiweka hela benki haiwatoshi wao kuwakopesha watu wakapata na faida hadi waweke makato ya kiduanzi. Nawaonea huruma sana wafanyakazi wa serikali maana hawana la kufanya. Mambwa nyie Nmmmb

Roho ya kimasikini kabisa hii, hiyo app NMB nao wanalipia au hujui?
Pumbavu
 
Wanalipa wanaitumia wao au sisi wateja wao. Manina usitetee wizi
Kuna mijitu jinga sana, NMB ipo na wateja wangapi? Ukizingatia 90% ya mishaara ya watumishi upitia kwao, hivi mb watu wanatumia kutoa pesa ni kiasi gani achana na mb za kupakua app yao

Alafu mjinga mmoja anakuja na hoja za kipumbavu hapa , uzuri umemjibu vizuri kadri ya upumbavu wake
 
Kuna mijitu jinga sana, NMB ipo na wateja wangapi? Ukizingatia 90% ya mishaara ya watumishi upitia kwao, hivi mb watu wanatumia kutoa pesa ni kiasi gani achana na mb za kupakua app yao

Alafu mjinga mmoja anakuja na hoja za kipumbavu hapa , uzuri umemjibu vizuri kadri ya upumbavu wake
Hawa wangese walipita mtaani wanafungulia watu akaunti. Nikawaambia katika kitu sipendi ni makato ya kingese wakasema wana makato ya 800 kw mwezi tu. Fine nikawaambia nifungulieni ya machinga mpunga ninao wa kutosha nitaweka. Nikaweka liten ndo walitaka. Nimeshangaa sana wametafuna 3500 yangu. Yaani wao wanawaza kukata vihela tu kwani hela zrtu tukiweka si ndo hizo hizo wanakopeshea watu ????.
 
Bhana naona wote munashambulia NMB Tanzania ila msisahau kuna hawa jamaa pia CRDB nilituma elf 12 kwenda mitandao ya cm nikakatwa 3000 halaf sasa nashangaa pesa yangu kwenye acount inapungua tu na wakati wakala ananifungulia acount aliniambia al baraka haina makato, napiga huduma kwa wateja simu haipokelewi , halaf ile huduma kwa wateja sio bure eti kupiga namba yako kama ilivyo mitandao ya simu, nikawafata mtandaoni wananiambia Ooh makato yapo kwa mwezi 2000 duh! 😔
 
Back
Top Bottom