Tetesi: NMB, CRDB, TRA, TANESCO, TPA na wadau wengine wa "Executive Category" kujitoa NHIF.

Tetesi: NMB, CRDB, TRA, TANESCO, TPA na wadau wengine wa "Executive Category" kujitoa NHIF.

Wanataka uka verify wapi Kwa wakili?, wakili yeye ana system ya kuhakiki taarifa Zako?.

Inatakiwa mashirika na taasisi zote za serikali zizomane,
Maana ilitakiwa hicho Cheti cha mtoto akiscan hiyo 👆 serials number,ili zimletee taarifa za Cheti husika,
AU Wao wanajua serial numbers ni urembo Tu,

Tz 🇹🇿 bado tunaishi miaka 100 iliyopita, ndio maana CCM haitaki kuondoka madarakani Kwa wizi wanaofanya kupitia mianya iliyowekwa na Nyerere
Mambo ya ajabu sana

Ova
 
Back
Top Bottom