NMB dhibitini huu uhuni unao endelea kwenye benki yenu

NMB dhibitini huu uhuni unao endelea kwenye benki yenu

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
6,096
Reaction score
16,390
Humu kumekuwepo na malalamiko mengi juu ya hii benki ,hasa ya watu kutolewa pesa zao kwenye account zao kwenye mazingira yasiyo eleweka.

Hatiyame na mm yame nikuta,tarehe 22 niliweka kiasi cha sh5,805,000 kwenye account yangu tarehe 25 nikafanya muamala kwa kutoa sh 5,000,000.

Sasa leo ninaenda kufanya mualama wa kutoa hela iliyo baki muamala ukawa unagoma naambiwa salio halitoshi, nikaamuwa kuangalia salio ,nilibaki nimeduwaa baada ya kukuta sh 688000 tu yaani laki moja na ushenzi haipo.

Ngoja kesho niwakute kwenye hizo ofisi zao waniambie laki 1 imeenda wapi, yaani hawa jamaa sijui wanatuchukuliaje hali ilivyo ngumu mtaani alafu watu wanaleta undina kwenye hela za watu.

Jamani wahusika wa NMB kama mpo humu njooni mtoe ufafanuzi wa hiki kinacho endelea.
 
Humu kumekuwepo na malalamiko mengi juu ya hii benki ,hasa ya watu kutolewa pesa zao kwenye account zao kwenye mazingira yasiyo eleweka.
Hatiyame na mm yame nikuta,tarehe 22 niliweka kiasi cha sh5,805,000 kwenye account yangu tarehe 25 nikafanya muamala kwa kutoa sh 5,000,000.
Sasa leo ninaenda kufanya mualama wa kutoa hela iliyo baki muamala ukawa unagoma naambiwa salio halitoshi ,nikaamuwa kuangalia salio ,nilibaki nimeduwaa baada ya kukuta sh 688000 tu yaani laki moja na ushenzi haipo.

Ngoja kesho niwakute kwenye hizo ofisi zao waniambie laki 1 imeenda wapi, yaani hawa jamaa sijui wanatuchukuliaje hali ilivyo ngumu mtaani alafu watu wanaleta undina kwenye hela za watu.
Jamani wahusika wa NMB kama mpo humu njooni mtoe ufafanuzi wa hiki kinacho endelea.
Ni kweli kabisa.
Kuna makato mengine hata ukiangalia statements huyaoni ila hela imekatwa. Tunakatwa bila hata makubaliano
 
Humu kumekuwepo na malalamiko mengi juu ya hii benki ,hasa ya watu kutolewa pesa zao kwenye account zao kwenye mazingira yasiyo eleweka.
Hatiyame na mm yame nikuta,tarehe 22 niliweka kiasi cha sh5,805,000 kwenye account yangu tarehe 25 nikafanya muamala kwa kutoa sh 5,000,000.
Sasa leo ninaenda kufanya mualama wa kutoa hela iliyo baki muamala ukawa unagoma naambiwa salio halitoshi ,nikaamuwa kuangalia salio ,nilibaki nimeduwaa baada ya kukuta sh 688000 tu yaani laki moja na ushenzi haipo.

Ngoja kesho niwakute kwenye hizo ofisi zao waniambie laki 1 imeenda wapi, yaani hawa jamaa sijui wanatuchukuliaje hali ilivyo ngumu mtaani alafu watu wanaleta undina kwenye hela za watu.
Jamani wahusika wa NMB kama mpo humu njooni mtoe ufafanuzi wa hiki kinacho endelea.
Hawatakuambia unachotaka kusikia Nyau wale
 
Humu kumekuwepo na malalamiko mengi juu ya hii benki ,hasa ya watu kutolewa pesa zao kwenye account zao kwenye mazingira yasiyo eleweka.
Hatiyame na mm yame nikuta,tarehe 22 niliweka kiasi cha sh5,805,000 kwenye account yangu tarehe 25 nikafanya muamala kwa kutoa sh 5,000,000.
Sasa leo ninaenda kufanya mualama wa kutoa hela iliyo baki muamala ukawa unagoma naambiwa salio halitoshi ,nikaamuwa kuangalia salio ,nilibaki nimeduwaa baada ya kukuta sh 688000 tu yaani laki moja na ushenzi haipo.

Ngoja kesho niwakute kwenye hizo ofisi zao waniambie laki 1 imeenda wapi, yaani hawa jamaa sijui wanatuchukuliaje hali ilivyo ngumu mtaani alafu watu wanaleta undina kwenye hela za watu.
Jamani wahusika wa NMB kama mpo humu njooni mtoe ufafanuzi wa hiki kinacho endelea.
Umeingiziwa hela za kazi ushazila sasa unataka kuwasingizia NMB
 
Suluhisho ni na bank kuanza kutoa SMS za miamala Kwa mfumo wa simu Kama MPESA n.k

Mfano . AQDRWABG Imethibitishwa umetoa kiasi cha 5,000,000 Kwa Kadi inayoishia na 25555 . Salio lako ni 75000
 
Mkuu,

Kwanza hujaeleza akaunti yako ni ya aina gani. Na una muda gani tangu unaitumia.

Zipo akaunti ambazo ni premium au corporate, kiwango cha chini kuwepo kwenye akaunti ni 150k au 100k. Hicho kiasi hakitoki na wala ukiangalia salio hukioni. CRDB watakuambia kiasi halisi 1,250,000. Kisha watakuambua kiasi kilochopo 1,100,000.

Lakini pia,kuna makato ya kila mwezi na mwaka. Makato hutegemea akaunti moja na nyingine.
 
Humu kumekuwepo na malalamiko mengi juu ya hii benki ,hasa ya watu kutolewa pesa zao kwenye account zao kwenye mazingira yasiyo eleweka.

Hatiyame na mm yame nikuta,tarehe 22 niliweka kiasi cha sh5,805,000 kwenye account yangu tarehe 25 nikafanya muamala kwa kutoa sh 5,000,000.

Sasa leo ninaenda kufanya mualama wa kutoa hela iliyo baki muamala ukawa unagoma naambiwa salio halitoshi, nikaamuwa kuangalia salio ,nilibaki nimeduwaa baada ya kukuta sh 688000 tu yaani laki moja na ushenzi haipo.

Ngoja kesho niwakute kwenye hizo ofisi zao waniambie laki 1 imeenda wapi, yaani hawa jamaa sijui wanatuchukuliaje hali ilivyo ngumu mtaani alafu watu wanaleta undina kwenye hela za watu.

Jamani wahusika wa NMB kama mpo humu njooni mtoe ufafanuzi wa hiki kinacho endelea.
Hujaeleza aina ya akaunti yako, unapotoa tuhuma za hivyo ni muhimu kueleza baadhi ya details kama aina ya akaunti, muda tangu utumie, tawi ilipo nk ili kupata suluhisho kwa urahisi.
 
Back
Top Bottom