NMB dhibitini huu uhuni unao endelea kwenye benki yenu

NMB dhibitini huu uhuni unao endelea kwenye benki yenu

Humu kumekuwepo na malalamiko mengi juu ya hii benki ,hasa ya watu kutolewa pesa zao kwenye account zao kwenye mazingira yasiyo eleweka.

Hatiyame na mm yame nikuta,tarehe 22 niliweka kiasi cha sh5,805,000 kwenye account yangu tarehe 25 nikafanya muamala kwa kutoa sh 5,000,000.

Sasa leo ninaenda kufanya mualama wa kutoa hela iliyo baki muamala ukawa unagoma naambiwa salio halitoshi, nikaamuwa kuangalia salio ,nilibaki nimeduwaa baada ya kukuta sh 688000 tu yaani laki moja na ushenzi haipo.

Ngoja kesho niwakute kwenye hizo ofisi zao waniambie laki 1 imeenda wapi, yaani hawa jamaa sijui wanatuchukuliaje hali ilivyo ngumu mtaani alafu watu wanaleta undina kwenye hela za watu.

Jamani wahusika wa NMB kama mpo humu njooni mtoe ufafanuzi wa hiki kinacho endelea.
Oma bank statement utajua hela imeenda wapi then utawauliza
 
Humu kumekuwepo na malalamiko mengi juu ya hii benki ,hasa ya watu kutolewa pesa zao kwenye account zao kwenye mazingira yasiyo eleweka.

Hatiyame na mm yame nikuta,tarehe 22 niliweka kiasi cha sh5,805,000 kwenye account yangu tarehe 25 nikafanya muamala kwa kutoa sh 5,000,000.

Sasa leo ninaenda kufanya mualama wa kutoa hela iliyo baki muamala ukawa unagoma naambiwa salio halitoshi, nikaamuwa kuangalia salio ,nilibaki nimeduwaa baada ya kukuta sh 688000 tu yaani laki moja na ushenzi haipo.

Ngoja kesho niwakute kwenye hizo ofisi zao waniambie laki 1 imeenda wapi, yaani hawa jamaa sijui wanatuchukuliaje hali ilivyo ngumu mtaani alafu watu wanaleta undina kwenye hela za watu.

Jamani wahusika wa NMB kama mpo humu njooni mtoe ufafanuzi wa hiki kinacho endelea.
Kakomae nao kuna jamaa yangu yalimkuta hilo, amefuatilia wakagundua kuna mtu wa ndani ya bank alihusika, wamesema watarudisha hela hata hivyo jamaa amemtumia wakili kuwashitaki, hilo lipo sana
 
Mkuu,

Kwanza hujaeleza akaunti yako ni ya aina gani. Na una muda gani tangu unaitumia.

Zipo akaunti ambazo ni premium au corporate, kiwango cha chini kuwepo kwenye akaunti ni 150k au 100k. Hicho kiasi hakitoki na wala ukiangalia salio hukioni. CRDB watakuambia kiasi halisi 1,250,000. Kisha watakuambua kiasi kilochopo 1,100,000.

Lakini pia,kuna makato ya kila mwezi na mwaka. Makato hutegemea akaunti moja na nyingine.
Akauti yangu ni ya akiba na ninaitumia tangu mwaka 2017 na hiyo hela nimeiweka haijamaliza hata wiki nikafanya muamala wa kuitoa ndo nakutana na huu upuuzi.
Na hili ni tukio la kwanza tangu nianze kutumia akaunt hii ,miaka yote ilikuwa poa.
 
Kakomae nao kuna jamaa yangu yalimkuta hilo, amefuatilia wakagundua kuna mtu wa ndani ya bank alihusika, wamesema watarudisha hela hata hivyo jamaa amemtumia wakili kuwashitaki, hilo lipo sana
Hawa jamaa ni wapuuzi sana sijui wanadhani hela tunaziokota?
 
Hawa jamaa ni wapuuzi sana sijui wanadhani hela tunaziokota?
Sasa una haja gani ya kuendelea kuwatusi kwa kebehi kabla hujaenda kupata kilichojiri? Mwisho wa siku utajikuta wewe ndie mjinga kwa lawama zako.
 
Kama sikosei wanasema hiyo ni "storage charge"!
Kwa hiyo kila unapodraw wanakata! Kwa mfano hiyo 688,000/= ukienda kuwithdraw utakuta wameikata tena "storage charge"!
Lakini nenda tawini ukawabane wakueleze vizuri.
 
Humu kumekuwepo na malalamiko mengi juu ya hii benki ,hasa ya watu kutolewa pesa zao kwenye account zao kwenye mazingira yasiyo eleweka.

Hatiyame na mm yame nikuta,tarehe 22 niliweka kiasi cha sh5,805,000 kwenye account yangu tarehe 25 nikafanya muamala kwa kutoa sh 5,000,000.

Sasa leo ninaenda kufanya mualama wa kutoa hela iliyo baki muamala ukawa unagoma naambiwa salio halitoshi, nikaamuwa kuangalia salio ,nilibaki nimeduwaa baada ya kukuta sh 688000 tu yaani laki moja na ushenzi haipo.

Ngoja kesho niwakute kwenye hizo ofisi zao waniambie laki 1 imeenda wapi, yaani hawa jamaa sijui wanatuchukuliaje hali ilivyo ngumu mtaani alafu watu wanaleta undina kwenye hela za watu.

Jamani wahusika wa NMB kama mpo humu njooni mtoe ufafanuzi wa hiki kinacho endelea.
NMB Tanzania
 
Aiseee, Mimi yalinikuta nikawaza Sana, kumbe nilijiunga na App yao, kuna sehemu ya spend to save, siku napekua pekua kule nikakuta hela iko kule kwenye spend to save moyo ukapoa.
 
Hii iliwahi nitokea miaka hiyo napokea "boom" waliniambia hii pesa "ilipigwa" nilisumbuliwa sana mpaka nikaenda kwa meneja wa kanda town
Niliingiziwa pesa lakini walinikata gharama ya kuingiziwa pesa,yaani nawadai 100k,wakaweka 98500
Na benki ni hiyo hiyo mpaka leo sina imani nao
 
Angalia kama umejiunga nayo. Huenda pesa yako imeseviwa huko
Mkuu mm sijawahi kujiunga kwenye huduma hiyo labda kama waliniunga wao wenyewe bila mm kujua.
 
Sasa una haja gani ya kuendelea kuwatusi kwa kebehi kabla hujaenda kupata kilichojiri? Mwisho wa siku utajikuta wewe ndie mjinga kwa lawama zako.
Malalamiko juu ya NMB yamekuwa mengi sana juu ya tabia hii hata humu jf member kibao wamekuwa wakalalamika juu ya mambo haya.
 
Back
Top Bottom