NMB haya makato yenu kwenye mobile app ni makubwa sana na wizi uliovuka mipaka. Ushahidi huu hapa

Tigo nako siku hizi unapigwa kote kote
 
Tuelimisheni, app inakupaje fedha
 
Mkuu umewezaje kulog in kwa app yao maana me kila nkijarib hamna cha maana
App nzito balaa

Me mwendo wa kuchanja tu na ATM nikitoa pesa yangu natembea NAYO sasahivi popote maana nakuwa sina pesa nyingi.

Ni za mafuta labda na matumizi madogo madogo so nikitoa naweka kwenye gari nitakuwa natoa kidogo kidogo

Maisha yamekuwa magumu sana.
 
[emoji848][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tajiri
 
Mkuu sio NMB ,benk zote na mitandao yote ni matatizo matupu ,Juzi nilikuwa na pesa kwenye Airtel Money ilibidi niihamishe kwenda CRDB aisee nusu nilie maana walichukua kiasi kikubwa sana.Pia hizi Mobile MasterCard ndio usiseme hamna cha Mpesa wala Airtel MasterCard wote makato nimakubwa sana.
 
Makato unapotoa pesa ambazo umeweka kwenye Bank kwa kutumia Apps au kwa njia ya mtandao ni wizi. Hili swala linabarikiwa na serikali/viongozi waliopo madarakani. Huu ni uonevu na unyonyaji kwa sababu it dos not cost a Bank anything, if there is a cost can they prove it?
 
Well said. Na ndio maana haya mabenki yanajipendekeza kwa kujifanya sponsa wa matukio yanayahusu viongozi. Pure institutional corruption
 
Pia kwann watoze vocha ya sh 100 kwenye kuuliza salio
 
Bora wewe. Kuna bank nilitoa 3000 kwa wakala wakanikata 2800. Uzuri wa hiyo bank ukishatoa, wanakutumia na msg ya makato hapohapo.
Ila ninachoipendea hawana makato ya mwisho wa mwezi.
 
yaani mshahara unakatwa kodi ( PAYE) na ukienda bank ku u-draw mshahara unakutana na makato ya kodi tena (VAT) ya ku draw mshahara, sijui kwa nini wanatukata kodi mara mbili??? na vyama vyetu vya wafanyakazi imelala tuuu
VYAMA VYA WAFANYAKAZI HUKO KUNA MAJAMBAZI YASIYOTUMIA SILAHA NA MCHWA WANAOMTAFUNA MFANYAKAZI KILA KONA....unatarajia waseme nini?/wamsaidie nani?....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…