Private investigator
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 303
- 287
Riba ya mkopo asilimia ngapi? Makato mengineyo ada na bima kiasi gani?Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Riba imeshuka kwa Asilimia ngap?Naona mmetuma sms kuwa mmeshusha riba nakuongeza muda wa kukopa, naomba kuuliza riba imeshuka hadi asilimia ngapi?
Nasikia ni 16% kwa miaka 9Riba imeshuka kwa Asilimia ngap?
Kivipi maana nina mpango wa kukopaMlichowai kunifanyia bank ya NMB ni wizi na uhuni sitaki hata kuwasikia mpaka nimehama bank yenu wezi katika account za watu.
Mie napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa NMB KAHAMA Business centre kwa huduma bora nilizozipata pale walinipa msaada mkubwa sana @ Pendo and her team [emoji109][emoji1666][emoji1417]
Wazembe sana sananyie NMB nyie sina hamu na nyie kabisa nlifungua account chap chap baada ya kuambiwa account ya mwanzo imefungiwa sasa namba yangu simu hamjaifuta toka mwezi wa saba mpaka sasa hivi haijafanyiwa chochote na yale mabarua mlionisumbua kuandika
Mbona sasa wala hawatujibu tunajiandikia wenyewe hapa weeee wala hawastuki. Yani ukiwa na madai hapa NMB ni useless kabisa.Mmefanya vizuri kampuni za simu pia mnatakiwa mje humu kuna shutuma nyingi sana zinatukera mje na nyie kama hawa NMB walivofanya
Kuna wateja wanaibiwa huku mkuje kujibu tuhuma msijikausheNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo: