Mimi wamenitumoa meseji mara kibao na sijaenda. Kuna ulazima gani wa uhakiki?Hili suala la uhakika hamkujipanga kabla?
Foleni ni ndefu na watoa huduma ni wachache. Umekuwa usumbufu mkubwa.
Jaribuni kutumia teknolojia kurahisisha mambo kama suala la kuwa na wahudumu wa kutosha limewashinda.
Mnakwaza!
Wanasema watafungia baadhi ya huduma ikiwemo kutoa fedha hadi pale akaunti itakapohakikiwa.Mimi wamenitumoa meseji mara kibao na sijaenda. Kuna ulazima gani wa uhakiki?
Duh! Itabidi niende.Wanasema watafungia baadhi ya huduma ikiwemo kutoa fedha hadi pale akaunti itakapohakikiwa.
Jiandae kukutana na foleni ndefu huku mhudumu akiwa mmoja.Duh! Itabidi niende.
Punguzeni meseji mnakera......Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Nikopee huo mkopo fasta. Nina shida ya laki 5 haraka.