Hongereni kwa kazi nzuri lakini kuna tatizo limenipata leo tarehe 9/9/2015,saa 9:55 jioni hii tawi la NMB,MBALIZI ROAD,MBEYA nimetoa pesa Tshs,400,000.mashine imehesabu lakini haijatoa pesa nimeingia ndani kuomba msahada na wamenipa form niijaze na wakanitaka copy ya ATM card yangu sasa nimetoka nje kutoa copy narudi baada ya dk6,nikamkuta mlinzi akaniambia muda umeisha huku nimeshika form mkononi nimeshindwa kurudisha hii form na pesa zinahitajika hospitali kesho asubuhi sasa nashindwa chakufanya msahada wenu wadau.