NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

Kuna kitabia cha wanaume fulani kazi yao nisifia wanawake na kukuza sifa sizostahiki hawa wanaitwa madume jike..wewe unayesifia umefanya nini...NMB wamewalazimisha wafanyakazi wa serikali miaka michache nyuma wachukue mishahara na mikopo kwao kupitia mbereko ya serikali,huo msingi ndio inafanya wawe na wateja wengi mpaka sasa especial waalimu..hususani waalimu.
Mtu yeyote akiwa mkurugenzi wa hiyo bank ataonekana anafanya vizuri..mishahaa hewa zinapoteleaga huko.
 
CRDB nini wamekukosea chief?
Nilikopa fedha kiasi kadhaa, ila kwenye salary slip yangu inaonekana nimekopa fedha nyingi sana kuliko tulivyoandikishana mkataba.

Nilimfata Manager tukaongea, akakiri kuna walifanya (Afisa Mikopo wao na Afisa Utumishi wangu). Wakaahidi kurekebisha. Hadi sasa hakuna walichokwishafanya.
 
Hahaha povu la nini?

Umeona lakini kilichoandikwa hapa?


Sifa ziko wapi hapo zisizostahili kwa Ruth?


Tujifunze kukubali wanachofanya wengine
 
Kabla hujaenda mahakamani wapelekee barua ya notice kwanza.
 
Nadhani ubunifu anaoweza kusifiwa nao ni kuanzisha mawakala wa benki. Sina hakika kama ni yeye alianzisha au aliikuta hiyo program. Zaidi ya hayo, haya mabenki mawili hayana lolote. Yanaletewa bashara za kutosha na serikali.
 
Please ukubwa in terms of what? Kama ni total assets CRDB ina Trillion 11.64 ila NMB ina Trillion 10.4!! Umetumia parameters zipi. Utusaidie kwa faida ya wote.

Kuna kitu kinaitwa efficiency, unaweza kuwa na asset kubwa zisikuwa na maana yeyote.

Kabla hata hatuja ingia kiundani kujua aina ya hizo asset ukijibu hapo juu inatosha kabisa kukupa picha.

Lakini pia tazama ile single lending limit kwa kuzingatia mtaji wa bank. Bila shaka nmb inaweza kuwa juu zaidi ya benk zote hizo.
 
Benki nyinginezo zingefungua kesi kwenye tume ya ushindani. Kwa upande mwingine kulinda chako dhidi ya ushindani ni jambo zuri japo linadumaza akili.
 
Chaga empire
 
Hata kama ni mimi ningepewa NMB ningetengeneza faida kubwa kuzidi huyu mama. Unajua ni kwa kiasi gani hiyo benki inafanya biashara na serikali? Unajua mishahara inayopita humo kutoka serikalini? Unajua ina akaunti ngapi za mapato ya serikali? Acha kabisa
 
Mbona bandari yule gigy money anagawa anasema eti hatuwezi mpka waarabu watusaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…