NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama


CRDB Nmb
ROA 4.6%. 5%

ROE 25.4%. 28%

Basic EPS 38,5. 1,091

Loan to total asset
63%. 61%
 
Swali la Maana zaidi ni How did she Accomplish that ?!!!; Sababu kuna wakati watumishi ilikuwa ni lazima kuwa na Account NMB; au that was before her time ?

Tusiangalie faida tu, vipi kuhusu huduma, matawi n.k.
 
Kazi ya benki kuu ni kusimamia hizi benki za kibiashara kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa wananchi ili waweze kupata maendeleo jibu lako kuwa kukopa siyo lazima ni kweli lakini ni jibu la kishenzi.

Kama unaelewa kuna benki kuu inasimamia ni vipi uone riba juu na kuzilaumu hizi benki bila kuiuliza benki kuu?
Riba kuwa juu inachangiwa na sababu nyingi sana, tuyaelewe haya mabenki lakin tuendelee kupiga mbiu yatoe nafuu.
Leo tunazungumzia riba hadi ya 9%, 10% , 13% kutoka 24% huko.

Nadhani tupiga hatua nzuri ya kupata nafuu za riba. Ingawa muda woote zinabadirika pia ama kuongezeka ama kupungua.

Mfano kwa riba za usd hazikamatiki, heri kuchukua Tzs.
 
Mtu hawezi kuteuliwa halafu akawa na uhuru wa kufanya kazi.
Rais mwenyewe hana uhuru huo.
 
Hahahaha brother mbona kama povu jingi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akisifiwa Ruth kuna shida gani brother, mbona waliopita hawakufanya bidii hizi
 
Aisee kwenye mikopo anaupiga mwingi,, wafanyabiashara wanateleza tu humo
 
Kuna kitu kinaitwa efficiency, unaweza kuwa na asset kubwa zisikuwa na maana
Mkuu kwenye scholarly paper zote duniani bank size mara nyingi inapimwa based on market share/penetration/concentration ama total assets. Kibongo bongo ikiwemo NMB operational efficiency inapimwa kwa kuchukua mapato kabla ya kodi na kugawa kwa namba ya wafanyakazi. Tukienda hivyo CRDB is better.

Otherwise ROA measures the efficieny in terms of how assets are returning profits. Sasa 4.7 percent ya Trillion 11.64 ni kubwa kuliko 5 percent ya Trillion 10.4!! Ni sawa na kusema Tanzania tuna uchumi mkubwa kisa unakua kwa 7% ila USA unakua kwa 4%!!!

Realistically CRDB is ahead mkuu percent zisikuchanganye though zinatoa picha tu vizuri kuliko figures za profit in terms of monetary value.
 
difference ni 0.3 which is almost equally
 
Hili haliko sawa kibiashara, Siku tiGO akiamua kupandisha bei zaidi hata kwa 100% hawezi pata mpinzani kama regulator
Exactly!! Bei za bundle zante zilikua cheap ila menu ya sasa ni copy and paste ya tigo sasa bila ushindani gharama haziwezi shuka... kuna wakati huwa sielewi huko makazini wanashughulikia nini kama mambo obvious hivi wanapotezea!
 
Mkuu nisaidie kuna uhusiano gani kati ya huyu mama na rais? Mama samia kawa rais tayari huyu mama ni md,
 
Mkuu nisaidie kuna uhusiano gani kati ya huyu mama na rais? Mama samia kawa rais tayari huyu mama ni md,
1. Wote ni Viongozi wa taasi kubwa, eg CCM, Serikali, NMB et el

2. Wote ni wanawake

3. Wote ni wanaCCM

4. Wote wanaongoza kwenye awamu ya sita

5. Wote wamekuza uchumi kwa kasi kwenye taasisi zao

6. Wote ni wanadiplomasia wa kiuchumi

7. Wote ni wazawa

8. Wote ni wabunifu

9. Wote wanaamini katika democracy

10. Wote ni wazalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…