NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

Ukitaka kumuoa lazima nawe uchumi wako uwe imara, lasivyo utatuletea shida hap

Ingekuwa analysis nzuri kama ungesema as compared to what? Maana banking industry yote ya Tanzania miamala ya ATM, mobile banking, branches zimekua zaidi ya mara mbili!! Yaani hata Maendeleo bank imekua zaidi ya Mara mbili ilihali ina assets ndogo zaidi.

Yes ilikuwa na assets nyingi miaka na miaka wala sio sababu ya

Analysis ya faida za kibenki hatupimi kwa billion hizi na hizi, maana obvious mtaji ukikua lazima faida ikue. So huwa wanapima kwa return on assets, au return on equity, sasa tukienda huko ndio ungetupa picha kamili kwamba kwa kila ongezeko la mtaji je kazalisha shingapi. ROA, ROE, au NIM.

Yeah apewe pongezi kwa kumaintain ukubwa wa NMB lakini kama mnamfanyia branding ili ateuliwe na Mama samia kwenye siasa mtampoteza. She might be good sababu ya ukubwa wa taasisi ila mkimpeleka sijui wizara ya uchumi, au sijui biashara na viwanda she'll be exposed of her weaknesses na atapoteza status yake.

Waacheni wabaki kwenye corporate world wana mchango mkubwa huko ila kwenye siasa atakua kama Kimei au Muhongo
Umeandika mambo mengi kwa wakati mmoja ila nakujibu tu hii compared to other commercial banks
 
Umeandika mambo mengi kwa wakati mmoja ila nakujibu tu hii compared to other commercial banks
Yeah tunaita market share au market penetration yaani ATM za NMB vs ATM Zote Tanzania!! hapo ndio unapata picha nzuri ila ukisema eti ATM from 100 to 1000 bila kujua CRDB zimeongezeka ngapi au KCB!! Inakua blind analysis.
 
Ukabwa wa assets wakati mwenye asset ndogo zaidi yako anaweza zalisha faida kuliko mwenye asset zako ?CRDB mjitafakari saaana
Umetoa wapi data? Return on Assets ya CRDB na NMB ni 5 sasa kamzidi wapi? Acheni Longo longo.
 
Kuna vichwa pale NMB ni balaa ukiacha ZAIPUNA Kuna kichwa kinaitwa MPONZI Jamaa mmoja hivi ana upara ni hatari. Kuna DONATUS Richard mkuu wao wa biashara yaani wapo creative balaa I wish hivi vichwa vije vimsaidie mama kwenye uchumi pia vipewe uhuru wa kufanya kazi aiseee tutatoboa

Naona mnajipigia debe hapa. Mama Zaipuna apewe sifa zake.
 
Back
Top Bottom