Financial Intelligence
JF-Expert Member
- Sep 29, 2023
- 233
- 437
- Thread starter
- #121
Ila ya CCM hasa kwenye kutoa mikopoSafi sana Rais Samia,
Safi sana Ruth Zaipuna,
We love you.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ya CCM hasa kwenye kutoa mikopoSafi sana Rais Samia,
Safi sana Ruth Zaipuna,
We love you.
Chap sana unalamba mkwaja unasogea mbele kutekeleza ilani ya CCMriba na wiziiii hamna kinginee, NMB saivi mikopo yao inatoka chap chap huzungushwiii..
ila wanadai haooooo
Ukitaka kumuoa lazima nawe uchumi wako uwe imara, lasivyo utatuletea shida hap
Umeandika mambo mengi kwa wakati mmoja ila nakujibu tu hii compared to other commercial banksIngekuwa analysis nzuri kama ungesema as compared to what? Maana banking industry yote ya Tanzania miamala ya ATM, mobile banking, branches zimekua zaidi ya mara mbili!! Yaani hata Maendeleo bank imekua zaidi ya Mara mbili ilihali ina assets ndogo zaidi.
Yes ilikuwa na assets nyingi miaka na miaka wala sio sababu ya
Analysis ya faida za kibenki hatupimi kwa billion hizi na hizi, maana obvious mtaji ukikua lazima faida ikue. So huwa wanapima kwa return on assets, au return on equity, sasa tukienda huko ndio ungetupa picha kamili kwamba kwa kila ongezeko la mtaji je kazalisha shingapi. ROA, ROE, au NIM.
Yeah apewe pongezi kwa kumaintain ukubwa wa NMB lakini kama mnamfanyia branding ili ateuliwe na Mama samia kwenye siasa mtampoteza. She might be good sababu ya ukubwa wa taasisi ila mkimpeleka sijui wizara ya uchumi, au sijui biashara na viwanda she'll be exposed of her weaknesses na atapoteza status yake.
Waacheni wabaki kwenye corporate world wana mchango mkubwa huko ila kwenye siasa atakua kama Kimei au Muhongo
Asishauriwe kuingia kwenye sihasa yaani atachafuka fastaaaa
Yeah tunaita market share au market penetration yaani ATM za NMB vs ATM Zote Tanzania!! hapo ndio unapata picha nzuri ila ukisema eti ATM from 100 to 1000 bila kujua CRDB zimeongezeka ngapi au KCB!! Inakua blind analysis.Umeandika mambo mengi kwa wakati mmoja ila nakujibu tu hii compared to other commercial banks
serikali ipi inatoa cheque mkuuNMB inabebwa kwa % serikali, unalazimishwa ufungue account NMB ndiyo ulipwe cheque yako.
Got you Zitto JrYeah tunaita market share au market penetration yaani ATM za NMB vs ATM Zote Tanzania!! hapo ndio unapata picha nzuri ila ukisema eti ATM from 100 to 1000 bila kujua CRDB zimeongezeka ngapi au KCB!! Inakua blind analysis.
Nahisi hajui chochoteserikali ipi inatoa cheque mku
====
Umefanya kazi na vituo vya Afya/Zahanati au shule?serikali ipi inatoa cheque mkuu
Am not sure kama anataka kuingia kwenye siasa but you never know Mungu amempangia nini huko mbelePerformance yake itapotea, politics za bongo hazitaki smart individuals
CHADEMA imekuharibu sana weweUmefanya kazi na vituo vya Afya/Zahanati au shule?
Sawa dada anguCHADEMA imekuharibu sana wewe
Umetoa wapi data? Return on Assets ya CRDB na NMB ni 5 sasa kamzidi wapi? Acheni Longo longo.Ukabwa wa assets wakati mwenye asset ndogo zaidi yako anaweza zalisha faida kuliko mwenye asset zako ?CRDB mjitafakari saaana
Kuna vichwa pale NMB ni balaa ukiacha ZAIPUNA Kuna kichwa kinaitwa MPONZI Jamaa mmoja hivi ana upara ni hatari. Kuna DONATUS Richard mkuu wao wa biashara yaani wapo creative balaa I wish hivi vichwa vije vimsaidie mama kwenye uchumi pia vipewe uhuru wa kufanya kazi aiseee tutatoboa
Pale Kuna mtu anaitwa Emmanuel Akonay nadhani ndio kocha wa Kila kitu pele, Apongezwe sana huyu Mwamba baada ya Ruth ni yeye
outsiders wanajuaje hayo majina 😂 😂Naona mnajipigia debe hapa. Mama Zaipuna apewe sifa zake.
Naona mnapigiana debe. Mara huyu ni kichwa na mwingine sio kichwa.Pale vichwa ni Kimori, CFO, Chacha, Treasurer, Mponzi, CRB, Kwame, CTDT, Nenyuata, CSS, Shao, CWB.
Emmanuel Akoonary is the best ukimwacha Ruth overrr
Benki haiwezi kuwa na mtu mmoja anayeweza kusimama peke yake kama ndio kichwa. Hapo nimempa angalau list ya key people wanaosukuma gurudumu pamoja na Ruth, CEO na huyo Akonaay, CHRMNaona mnapigiana debe. Mara huyu ni kichwa na mwingine sio kichwa.