NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

FCC hamna kitu, imagine Tigo anamnunua Zantel ambaye ni competition yake huko zanzibar alafu FCC wapo tu
Ingekuwa ni pingamizi kama makampuni ya simu yapo mawili tu au matatu. Ila sio pingamizi sababu makampuni ni mengi na Zantel ingeachwa ingejifia na kupoteza uwekezaji, ajira na tija.

Nikienda hata Marekani au Ulaya kuna makampuni mengi yamenunuliwa na washindani wake. Boeing imenunua McDonnel Douglas, Pfizer imenunua Pharmacia ambayo ilifanya merger na Monsanto.

Wewe unataka yaleyale ya FCC kuzuia takeover ya kina Twiga kwenye simenti kisa ni competitors. Wale ni wachache, na takeover isipofanyika performance ya kampuni inayouzwa inaendelea kushuka.
 
Ingekuwa ni pingamizi kama makampuni ya simu yapo mawili tu au matatu. Ila sio pingamizi sababu makampuni ni mengi na Zantel ingeachwa ingejifia na kupoteza uwekezaji, ajira na tija.

Nikienda hata Marekani au Ulaya kuna makampuni mengi yamenunuliwa na washindani wake. Boeing imenunua McDonnel Douglas, Pfizer imenunua Pharmacia ambayo ilifanya merger na Monsanto.

Wewe unataka yaleyale ya FCC kuzuia takeover ya kina Twiga kwenye simenti kisa ni competitors. Wale ni wachache, na takeover isipofanyika performance ya kampuni inayouzwa inaendelea kushuka.
Mkuu zantel kwa zanzibar ni almost a monopoly yaani ina market share kubwa sasa kununuliwa na competitor kama Tigo ni kumaliza ushindani maana market concentration inakua kubwa kwa kampuni mbili hivyo kuacha wateja wanakosa option.

Umetoa mifano ya US ila kumbuka hata Congress walifungua mjadala wa kupinga Meta kununua mitandao kama whatsapp or instagram sababu inaua competition kabisa
 
1. Wote ni Viongozi wa taasi kubwa, eg CCM, Serikali, NMB et el

2. Wote ni wanawake

3. Wote ni wanaCCM

4. Wote wanaongoza kwenye awamu ya sita

5. Wote wamekuza uchumi kwa kasi kwenye taasisi zao

6. Wote ni wanadiplomasia wa kiuchumi

7. Wote ni wazawa

8. Wote ni wabunifu

9. Wote wanaamini katika democracy

10. Wote ni wazalendo
Hapa mbona sioni correlation! Md kafika hapo kwa utendaji wake wa kazi sasa tunapo oanisha perfomance yake na awamu ya sita haingii akilini,
 
Hongera zao japo NMB pia inafaidika na mfumo...
  1. Fikiria mishahara ya watumishi wa umma karibia wote hupitia huko
  2. Mikopo ya watumishi hao wakiwemo Waalimu hupitia kwao na ina riba kubwa tu
  3. Matawi karibia kila mahala ni suala tu la kuyasimamamia kimkakati nk
  4. Serikali hupitisha hela nyingi tu huko; Chukulia malipo ya watalii/TANAPA, nk
Ukiangalia vizuri kuna benk hapo nafikiri hazina hata miaka 15 zinashindanishwa na Benk yenye zaidi miaka ya 60
Sahihi
 
Nchi masikini sana hii ! , Yaani hizo bilion 300 ndio faida ya kuongelea hapa ? , hata Institutions za kifedha bado masikini wa kutupwa , huwezi kuwa na benki zina mitaji kiduchu hivyo na faida za kuungaunga halafu utegemee hizo benki zitoe mchango mkubwa kwenye ukuaji wa uchumi ,never
Huwezi pata mikopo ya bei nafuu ili kukuza uwekezaji ,miundombinu ,huduma za kijamii na biashara .
Yaani hizo benki hata zikichangia mitaji hazina uwezo wa kufinance miradi ya kimkakati ya kimaendeleo kama ujenzi wa vinu vya kufua umeme ,reli nk
Bado tunasafari ndefu
Hakika, tuko nyuma sana kulinganisha na ulimwengu wa kwanza.
 
Kuna vichwa pale NMB ni balaa ukiacha ZAIPUNA Kuna kichwa kinaitwa MPONZI Jamaa mmoja hivi ana upara ni hatari. Kuna DONATUS Richard mkuu wao wa biashara yaani wapo creative balaa I wish hivi vichwa vije vimsaidie mama kwenye uchumi pia vipewe uhuru wa kufanya kazi aiseee tutatoboa
Hata uko NMB walipo mbona wanamsaidia mama
 
View attachment 2805767
MS Ruth Zaipuna Mkurugenzi Mkuu NMB.

======
Wasalaam Jf team,

Waswahili tunasema " Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake Mpeni "

Sote tunakumbuka baada ya NBC Bank kuvunjwa Mwaka 1997 na baadae kuanzishwa kwa Benki mpya ya Makabwera ya NMB na baadae Benki hiyo kubinafsishwa kwa Rabobank ya Uholanzi iliyomiliki hisa asilimia 49.

Wakati wote NMB PLC imekuwa ikiongozwa na watu kutoka nje ya nchi tu isipokuwa huyu Mkurugenzi wa Sasa Bi Ruth Zaipuna aliyekabidhiwa nafasi hiyo ya Ukurugenzi Mkuu rasmi mwaka 2020.

Kumbukumbu zinaonesha wakati mama huyu anaingia madarakani NMB bank ilikuwa na matawi yapatayo 100 tu nchi nzima na ATMs zipatazo 500 nchi nzima.

Leo NMB bank imefikisha matawi zaidi ya 200 na ATMs zaidi ya ATMs 1,000 nchi nzima hii ni sawa na kusema mama huyu ameikuza bank hii ya Makabwera kwa zaidi ya marambili, yaani ukuaji wa 100% au kwa lugha rahisi ni sawa na kusema NMB bank PLC imefika katika Kila Jimbo la Uchaguzi la kiserikali haba bara.

Kutoka katika tovuti ya NMB taarifa zinaonesha NMB bank ilikuwa na wateja wasiozidi 600,000 miaka kumi iliyopita na wakati huu wa Ruth Zaipuna banki hii imefikia wateja zaidi ya 2.5M nchi nzima,karibu mara nne zaidi.

Kuhusu Uzalendo & Uzawa Kunajambo la kujifunza kwa hawa wanawake watatu yaani Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan, Spika wa bunge la JMT na IPU Mhe Dkt Tulia Aksoni na Mkurugenzi Ruth Zaipuna kwa namna wanavyoleta mabadiliko ya kasi kwenye taasisi wanazoziongoza,

Hebu tazama orodha hii ya faida kwa mabenki kumi ya Tanzania yaliyofanya vizuri katika robo ya tatu tu ya mwaka huu wa 2023 ndio utaelewa vizuri nachosema kuhusu huyu Mkurugenzi.

1. NMB Bank: TZS 398 billion

2. CRDB Bank: TZS 280 billion

3. Stanbic Bank: TZS 95 billion

4. StanChart: TZS 64 billion

5. NBC Bank: TZS 62 billion

6. Citibank TZS 44 billion

7. PBZ TZS 41 billion

8. Exim Bank TZS 40 billion

9. Absa Bank TZS 37 billion

10. KCB Bank TZS 35 billion

Taarifa zinaonesha faida ya Jumla kwa mabenki yote Tanzania ni shilingi trilioni moja katika robo hii ya tatu, Hii ni sawa na kusema NMB PLC pekee anamiliki 40% ya faida yote huku ikimpiku kwa mbali mshindani wake wa karibu CRDB bank kwa zaidi ya TZS 118 BL sawa na 70% ya faida yake.

Wakati Ruth Zaipuna anakuwa Mkurugenzi Mkuu Benki hii ilikuwa na wastani wa faida ya TZS 200BL baada ya kodi wakati Leo faida imekuwa na kufikia wastani wa karibu TZS 400BL kwa mwaka yaani sawa na marambili zaidi.

Pia, taarifa zinaonesha Benki ya NMB inashika nafasi ya sita kwa Ukubwa katika nchi zote Kusini mwa jangwa la Sahara na ndio Benki pekee toka Tanzania inayoshindana kimataifa,

Watanzania tuna la kujivunia toka kwa Mkurugenzi huyu mzawa akisaidiwa na management nzima ya NMB PLC pamoja na Bodi ya Wakurugenzi wa NMB PLC chini ya Dkt Edwin Mhede, Hakika Mmestahili Heshima.

Kwa matokeo haya, Huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt Tulia mwingine ni huyu Ruth Zaipuna wa NMB PLC deserves better.

Tatizo umemsifia Mkurugenzi tu, amekupa hela au uchi uje kumpamba humu, NMB sio Mkurugenzi tu ndio analeta matokeo mazuri ya faida, acha ujinga, umemsifia Mkurugenzi hadi umetia kichefuchefu humu, nyokolost
 
Kote umesema sahihi ila hapo kwa Tulia hapana. Hata lile la bandari limenifanya Mama kaniogopesha sana. Cjajua ile mikataba 36 aliyosain pale Dubai bado eneo gan tena liondoke
 
Please ukubwa in terms of what? Kama ni total assets CRDB ina Trillion 11.64 ila NMB ina Trillion 10.4!! Umetumia parameters zipi. Utusaidie kwa faida ya wote.
Soma vizuri amesema kifaida NMB I aongeze na ni benki pekee kutoka tanzania inayoweza kushindana kimataifa
 
Tatizo umemsifia Mkurugenzi tu, amekupa hela au uchi uje kumpamba humu, NMB sio Mkurugenzi tu ndio analeta matokeo mazuri ya faida, acha ujinga, umemsifia Mkurugenzi hadi umetia kichefuchefu humu, nyokolost
Sasa wewe unaelewa maana team leader?


Hata Waziri alifanya vizuri vipi Sifa zote ni za Rais wa nchi, acha makasiriko,

Nimesema na "management nzima ya NMB pamoja na Bodi wa Wakurugenzi chini ya mzee Dkt Edwin Mhede" Sasa nimemsifu vipi MD peke yake?
 
View attachment 2805767
MS Ruth Zaipuna Mkurugenzi Mkuu NMB.

======
Wasalaam Jf team,

Waswahili tunasema " Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake Mpeni "

Sote tunakumbuka baada ya NBC Bank kuvunjwa Mwaka 1997 na baadae kuanzishwa kwa Benki mpya ya Makabwera ya NMB na baadae Benki hiyo kubinafsishwa kwa Rabobank ya Uholanzi iliyomiliki hisa asilimia 49 na Rabo baadae kumuuzia baadhi ya Shea Arise,

Wakati wote NMB PLC imekuwa ikiongozwa na watu kutoka nje ya nchi tu isipokuwa huyu Mkurugenzi wa Sasa Bi Ruth Zaipuna aliyekabidhiwa nafasi hiyo ya Ukurugenzi Mkuu rasmi mwaka 2020.

Kumbukumbu zinaonesha wakati mama huyu anaingia madarakani NMB bank ilikuwa na matawi yapatayo 100 tu nchi nzima na ATMs zipatazo 500 nchi nzima.

Leo NMB bank imefikisha matawi zaidi ya 230 na ATMs zaidi ya ATMs 1,000 na mawakala zaidi 12,000 nchi nzima hii ni sawa na kusema mama huyu ameikuza bank hii ya Makabwera kwa zaidi ya marambili, yaani ukuaji wa 100% au kwa lugha rahisi ni sawa na kusema NMB bank PLC imefika katika Kila Jimbo la Uchaguzi la kiserikali haba bara.

Kutoka katika tovuti ya NMB taarifa zinaonesha NMB bank ilikuwa na wateja wasiozidi 600,000 miaka kumi iliyopita na wakati huu wa Ruth Zaipuna banki hii imefikia wateja zaidi ya 6M nchi nzima,karibu mara kumi zaidi.

Kuhusu Uzalendo & Uzawa Kunajambo la kujifunza kwa hawa wanawake watatu yaani Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan, Spika wa bunge la JMT na IPU Mhe Dkt Tulia Aksoni na Mkurugenzi Ruth Zaipuna kwa namna wanavyoleta mabadiliko ya kasi kwenye taasisi wanazoziongoza,

Hebu tazama orodha hii ya faida kwa mabenki kumi ya Tanzania yaliyofanya vizuri katika robo ya tatu tu ya mwaka huu wa 2023 ndio utaelewa vizuri nachosema kuhusu huyu Mkurugenzi.

1. NMB Bank: TZS 398 billion

2. CRDB Bank: TZS 280 billion

3. Stanbic Bank: TZS 95 billion

4. StanChart: TZS 64 billion

5. NBC Bank: TZS 62 billion

6. Citibank TZS 44 billion

7. PBZ TZS 41 billion

8. Exim Bank TZS 40 billion

9. Absa Bank TZS 37 billion

10. KCB Bank TZS 35 billion

Taarifa zinaonesha faida ya Jumla kwa mabenki yote Tanzania ni shilingi trilioni moja katika robo hii ya tatu, Hii ni sawa na kusema NMB PLC pekee anamiliki 40% ya faida yote huku ikimpiku kwa mbali mshindani wake wa karibu CRDB bank kwa zaidi ya TZS 118 BL sawa na 70% ya faida yake.

Wakati Ruth Zaipuna anakuwa Mkurugenzi Mkuu Benki hii ilikuwa na wastani wa faida ya TZS 200BL baada ya kodi wakati Leo faida imekuwa na kufikia wastani wa karibu TZS 400BL kwa mwaka yaani sawa na marambili zaidi.

Pia, taarifa zinaonesha Benki ya NMB inashika nafasi ya sita kwa Ukubwa katika nchi zote Kusini mwa jangwa la Sahara na ndio Benki pekee toka Tanzania inayoshindana kimataifa katika ukubwa wa Biashara.

Watanzania tuna la kujivunia toka kwa Mkurugenzi huyu mzawa akisaidiwa na management nzima ya NMB PLC pamoja na Bodi ya Wakurugenzi wa NMB PLC chini ya Dkt Edwin Mhede, Hakika Mmestahili Heshima.

Kwa msiofahamu Mwaka 2021, Benki ya NMB chini ya Ruth Zaipuna ilitambuliwa na kutunukiwa tuzo saba za kimataifa
ikiwemo tuzo ya Euromoney ya Ubora, ikiitambua benki ya NMB kama Benki
bora Tanzania (kwa miaka tisa mfululizo) na tuzo kutoka Jarida la Global
Finance ikiitambua benki ya NMB kama benki salama zaidi Tanzania.

Pia mwaka 2021, benki ya NMB ilitambuliwa na kupewa tuzo na Mamlaka ya
Mapato Tanzania (TRA) ikiitambua kama mlipa kodi mkubwa zaidi kwenye
sekta ya fedha na pia mlipa kodi mkubwa namba tatu kwa ujumla nchini hii ni chini ya Ruth Zaipuna.

Kwa matokeo haya, Huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt Tulia mwingine ni huyu Ruth Zaipuna wa NMB PLC deserves better.
Nakubaliana na wewe mwandishi ,

Mwaka 2021 NMB ilikuwa na wateja 5m definitely Leo watakuwa zaidi ya 6 au 7,

Mwaka 2021 pia zilikuwepi ATM 775 hivi Leo ni kweli zinafika 1,000

Mwaka 2021 faida ilikuwa 290bl Leo ni sahihi kufika 398bl

Mwaka 2021 kulikuwa na matawi 226 Leo ni dhahiri 230 yanazidi sana

Mwaka 2021 tulikuwa na wafanyakazi zaidi 4,000 Leo huenda tukafika 5,000

Mwaka 2021 tulikuwa na mawakala zaidi ya 10,000 Leo ni sawa wakiwa zaidi ya 13,000

Hongera kwa Uzalendo wako,

Ni Mimi shareholder na Zaipuna ndio Kila kitu kwetu, We love na We trust her ever,

Hata enzi za wazungu mambo hayakuwa Bora kiasi hiki.
 
Nakubaliana na wewe mwandishi ,

Mwaka 2021 NMB ilikuwa na wateja 5m definitely Leo watakuwa zaidi ya 6 au 7,

Mwaka 2021 pia zilikuwepi ATM 775 hivi Leo ni kweli zinafika 1,000

Mwaka 2021 faida ilikuwa 290bl Leo ni sahihi kufika 398bl

Mwaka 2021 kulikuwa na matawi 226 Leo ni dhahiri 230 yanazidi sana

Mwaka 2021 tulikuwa na wafanyakazi zaidi 4,000 Leo huenda tukafika 5,000

Mwaka 2021 tulikuwa na mawakala zaidi ya 10,000 Leo ni sawa wakiwa zaidi ya 13,000

Hongera kwa Uzalendo wako,

Ni Mimi shareholder na Zaipuna ndio Kila kitu kwetu, We love na We trust her ever,

Hata enzi za wazungu mambo hayakuwa Bora kiasi hiki.
Asante sana kwa comment nzuri kwakuwa wewe ni mmoja wa wamiliki tunaamini zaidi maneno yako,

NMB ni moto kwelikweli,
 
Back
Top Bottom