NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

Kuna vichwa pale NMB ni balaa ukiacha ZAIPUNA Kuna kichwa kinaitwa MPONZI Jamaa mmoja hivi ana upara ni hatari. Kuna DONATUS Richard mkuu wao wa biashara yaani wapo creative balaa I wish hivi vichwa vije vimsaidie mama kwenye uchumi pia vipewe uhuru wa kufanya kazi aiseee tutatoboa
Hahaha!
 
Yaaan ni Maaajabu kwa kwelii, hivii inaakuwajee mtu jina lakee limeanza na Z... Awe na akili hivyoo, huendaa ikawaa alirisiti sanaa shuleni, hata masomoni. Mi nafahamu wanawake wotee majina yaa Za.... Ni mbululaa, na hamnibadilishi mtazamo!
 
Yaaan ni Maaajabu kwa kwelii, hivii inaakuwajee mtu jina lakee limeanza na Z... Awe na akili hivyoo, huendaa ikawaa alirisiti sanaa shuleni, hata masomoni. Mi nafahamu wanawake wotee majina yaa Za.... Ni mbululaa, na hamnibadilishi mtazamo!
Kuwa na akili sio kufanikiwa kimaisha. Zamani kazi zilikuwa zinakufuata zenyewe. Huyu mama ni wa enzi hizo mtu aliesoma shule ya msingi miaka ya mwanzoni ya 80 huko.

Harafu inaonyesha hajakulia familia za wakulima mzazi wake alikuwa mtumishi nadhani afisa elimu.

Hivyo hata kama aliresit Zaidi ya mara 2 aliepata kapata hivi sasa nae ni mtu tena sio mtu TU ni mwenye mamlaka na NMB yake...!​
 
Kuwa na akili sio kufanikiwa kimaisha. Zamani kazi zilikuwa zinakufuata zenyewe. Huyu mama ni wa enzi hizo mtu aliesoma shule ya msingi miaka ya mwanzoni ya 80 huko.

Harafu inaonyesha hajakulia familia za wakulima mzazi wake alikuwa mtumishi nadhani afisa elimu.

Hivyo hata kama aliresit Zaidi ya mara 2 aliepata kapata hivi sasa nae ni mtu tena sio mtu TU ni mwenye mamlaka na NMB yake...!​
Ni ndugu yako sio bure cc:TISS
 
Alikuzaa masomoni au? 😢
Hapana ila ili zuia asipate kazi serikalini haswa ukizingatia kipindi hicho. Ukiwa na elimu ya darasa la 7 na cheti chako Cha typing ajira nje nje...😭🤣😭🤣

Yeye alikuwa na cheti Cha typing na mjomba ake alikuwa mtu mzito TU serikalini hivi sasa ni marehemu {} alikuwa wizara ya Afya.

Alikataa kumsaidia kwasababu ya ujauzito😭😭😭

SI ajabu mama angekuwa sehemu nzuri TU. Nimemtia UMASIKINI mama angu...😭😭😭​
 
Kuwa na akili sio kufanikiwa kimaisha. Zamani kazi zilikuwa zinakufuata zenyewe. Huyu mama ni wa enzi hizo mtu aliesoma shule ya msingi miaka ya mwanzoni ya 80 huko.

Harafu inaonyesha hajakulia familia za wakulima mzazi wake alikuwa mtumishi nadhani afisa elimu.

Hivyo hata kama aliresit Zaidi ya mara 2 aliepata kapata hivi sasa nae ni mtu tena sio mtu TU ni mwenye mamlaka na NMB yake...!​
Sasa kama Mama yako alifanya makosa wewe clear hiyo tatizo,
 
Hapana ila ili zuia asipate kazi serikalini haswa ukizingatia kipindi hicho. Ukiwa na elimu ya darasa la 7 na cheti chako Cha typing ajira nje nje...😭🤣😭🤣

Yeye alikuwa na cheti Cha typing na mjomba ake alikuwa mtu mzito TU serikalini hivi sasa ni marehemu {} alikuwa wizara ya Afya.

Alikataa kumsaidia kwasababu ya ujauzito😭😭😭

SI ajabu mama angekuwa sehemu nzuri TU. Nimemtia UMASIKINI mama angu...😭😭😭​
Wewe ni " He or She "
 
Sasa kama Mama yako alifanya makosa wewe clear hiyo tatizo,
Kwa dizaini Gani sasa. Kama kuhangaika nahangaika lakini sipati. Na umri wangu huu 30+ naumia sana kuwa Bado nategemea akili za mama kuishi.

Mama umri unamtupa mkono Bado Sina uwezo wa kumsaidia😭😭😭 siku akiumwa au nikiumwa TU ikahitajika 1m nitakufa huku nikiwa najiona😭🙆😭🙆😭​
 
Back
Top Bottom