Pagani Zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 685
- 468
- Thread starter
-
- #61
yoHuna cha maana wewe andaa pesa za kumlipa fidia ya usumbufu na kumdhalilisha uyo unae muita mwizi ili siku nyingine iwe fundisho usikae macho usiku kuangalia mwizi anaiba bila kumchukulia hatua yoyote
Muulize ameoa? Msalimu kwanza kaka jambazi shkamoo!Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani(kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki.
Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, wakati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha. Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo.
Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
Muulize ameoa? Msalimu kwanza kaka jambazi shkamoo!
Ondoa kesi mahakamani kwani inaweza kukugharimu muda na pesa.Nimsafishe na kachukua simu. Namsafishaje? Labda sina ushahidi wa kutosha ila yeye ndiye kachukua.
Naiondoaje???Ondoa kesi mahakamani kwani inaweza kukugharimu muda na pesa.
Kwani nyinyi ni majirani wwe na mwizi wako!!??Sikumona gizani jamani. Nilimuona kwenye mwanga, tena mara mbili. Labda nilikosea kumpeleka police. Lakini YEYE NDIYE KACHUKUA SIMU YANGU.. hataki kukubali, sema sina ushahdi wa kutosha kwamba nilimkamata nayo au vipi. Lakini nilimuona. Yeye ndiye ameichukua. Anajifanya kukataa tu
Eti huyo ninayemuita mwizi. Kwahiyo nisimuite mwizi nikuite wewe? Ni vile tu mahakamani wanapenda ushahidi hata kama ni uongo
Una bahati simjui uyo mtu ulie mdhalilisha ila nikimjua naungana nae tunakufilisi na ulivyo njaa kali adi unadai infinix mahakamani
Una bahati simjui uyo mtu ulie mdhalilisha ila nikimjua naungana nae tunakufilisi na ulivyo njaa kali adi unadai infinix mahakamani
Mnataka huto tu vitu tudogo tupeleke wapi eti?? Tukuletee wewe?Baadhi ya wezi wanaufitalia huu uzi kwa ukaribu wakijiulza inamaana siku hizi hata tuvitu tudogo tunapelekana mahakamani ?
Popote itakapotoka ila hakunusaidia kuinunuaHiyo simu ilitoka Mars?
Hebu nitolee makasiriko yako bwana.
Relax Kaka Ila utashindwa kesi tu ,lazima ukome kuwaangalia wezi huku unatabasamuMnataka huto tu vitu tudogo tupeleke wapi eti?? Tukuletee wewe?
🤣🤣🤣 Acha kuisumbua Jamuhuri kwa kudai infinixHata kama ni infinix, ulininunulia wewe?
Ni mtu kukushtaki kwa hila tu bila ukweli wowote. Kwa ufupi ni mtu anakutengenezea mashtaka ya kutunga hivyo ikithibitika mashtaka hayana ukweli wowote basi mshtakiwa anafungua kesi ya kudai fidia kwa kusingiziwa mashtaka.Malice presecution ni nini mkuu?
VyemaPopote itakapotoka ila hakunusaidia kuinunua