Nmeibiwa simu, kesi iko mahakamani. Maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?

Nmeibiwa simu, kesi iko mahakamani. Maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?

Eti huyo ninayemuita mwizi. Kwahiyo nisimuite mwizi nikuite wewe? Ni vile tu mahakamani wanapenda ushahidi hata kama ni uongo
Huna cha maana wewe andaa pesa za kumlipa fidia ya usumbufu na kumdhalilisha uyo unae muita mwizi ili siku nyingine iwe fundisho usikae macho usiku kuangalia mwizi anaiba bila kumchukulia hatua yoyote
yo
 
Kama nitashindwa hamna shida ila Mungu ndiye anayejua. Na atamlipa kwa namna yake.
 
Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani(kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki.

Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, wakati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha. Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo.

Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
Muulize ameoa? Msalimu kwanza kaka jambazi shkamoo!
 
Sikumona gizani jamani. Nilimuona kwenye mwanga, tena mara mbili. Labda nilikosea kumpeleka police. Lakini YEYE NDIYE KACHUKUA SIMU YANGU.. hataki kukubali, sema sina ushahdi wa kutosha kwamba nilimkamata nayo au vipi. Lakini nilimuona. Yeye ndiye ameichukua. Anajifanya kukataa tu
Kwani nyinyi ni majirani wwe na mwizi wako!!??
 
Una bahati simjui uyo mtu ulie mdhalilisha ila nikimjua naungana nae tunakufilisi na ulivyo njaa kali adi unadai infinix mahakamani
Eti huyo ninayemuita mwizi. Kwahiyo nisimuite mwizi nikuite wewe? Ni vile tu mahakamani wanapenda ushahidi hata kama ni uongo
 
Ukiandikiwa maswali utakariri au utakuwa unasoma mahakamani?
 
Baadhi ya wezi wanaufitalia huu uzi kwa ukaribu wakijiulza inamaana siku hizi hata tuvitu tudogo tunapelekana mahakamani ?
 
Malice presecution ni nini mkuu?
Ni mtu kukushtaki kwa hila tu bila ukweli wowote. Kwa ufupi ni mtu anakutengenezea mashtaka ya kutunga hivyo ikithibitika mashtaka hayana ukweli wowote basi mshtakiwa anafungua kesi ya kudai fidia kwa kusingiziwa mashtaka.
 
Back
Top Bottom