chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,292
- 1,841
wewe ni chiziiiiiakimaliza mwambie na wewe akuchole si una muona lil wayne anavyopendeza mkuu?
kufa tu boya wewe“Nimemkuta mke wangu AKICHORWA Tatoo ya TAKO Chumbani kwangu
Naitwa John ni mfanyakazi wa chuo Kikuu cha Udom, nimeoa mwaka jana tu na mke wangu alikuwa ni mwanafunzi wangu, tulianza mahusiano akiwa hapa chuo mie nikiwa mwalimu wake na yeye akiwa mwanafunzi mwaka 2014.
Baada ya kumaliza niliamua kumuoa, lakn baada ya kumuoa kuna vijitabia fulani amekuwa akinionyesha ambavyo sivipendi sana, amekuwa akinidharau na kutoka bila hata kuniaga, hivi majuzi nilisafiri kikazi lakini nikapata dharura nikarudi nyumbani ghafla, nilichokikuta MUNGU ndio anajua “Nilimkuta Mwanaume Chumbani kwangu AKIMCHORA TATTOO KWENYE MATAKO” Nilishikwa na butwaa lakini yeye akaonyesha kutojali kitu na akaniambia niache ushamba, ameamua Kumleta Hapo nyumbani kwani ni Sehemu Salama Zaidi.
Nishaurini wadau, Nifanyeje maana Huyu Mwanamke Ataniua na Presha
Sent using Jamii Forums mobile app
“Nimemkuta mke wangu AKICHORWA Tatoo ya TAKO Chumbani kwangu
Naitwa John ni mfanyakazi wa chuo Kikuu cha Udom, nimeoa mwaka jana tu na mke wangu alikuwa ni mwanafunzi wangu, tulianza mahusiano akiwa hapa chuo mie nikiwa mwalimu wake na yeye akiwa mwanafunzi mwaka 2014.
Baada ya kumaliza niliamua kumuoa, lakn baada ya kumuoa kuna vijitabia fulani amekuwa akinionyesha ambavyo sivipendi sana, amekuwa akinidharau na kutoka bila hata kuniaga, hivi majuzi nilisafiri kikazi lakini nikapata dharura nikarudi nyumbani ghafla, nilichokikuta MUNGU ndio anajua “Nilimkuta Mwanaume Chumbani kwangu AKIMCHORA TATTOO KWENYE MATAKO” Nilishikwa na butwaa lakini yeye akaonyesha kutojali kitu na akaniambia niache ushamba, ameamua Kumleta Hapo nyumbani kwani ni Sehemu Salama Zaidi.
Nishaurini wadau, Nifanyeje maana Huyu Mwanamke Ataniua na Presha
Sent using Jamii Forums mobile app
aliamshe dude au alishaamshiwa dude jamaa anasubir lisimame tenaDuh aiseeh namna iyo kazi labda kama alichorwa na choco iv iv lazma aliamshe dude
Sent using Jamii Forums mobile app