Nmemkuta mke wangu anachorwa tatoo matakoni nyumbani na mwanaume

Nmemkuta mke wangu anachorwa tatoo matakoni nyumbani na mwanaume

"Kuchora kuchora kitu gani unaweza kuchora lakini usione ndani"-R.I.P ngwair.

Huu ndio utandawazi..faida na hasara..

Mwanamke huyo bado hajatambua nafasi yake katika ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kaka najua nn maana ya kupenda na maumivu yake kwa ujumla. Piga chini huyu si mke ni gold digger atakusumbua sana. Nashauri kimbia sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali za watoto wa kike wa vyuoni vilivyokuwa wazi nawe kwa nyege zako za vitunguu swaumu ukaingia kichwa kichwa shumbamiti hapa ya mbele alikuwa kamaliza punde tu b4 ya nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkeo atapendeza huyu! Acha wivu mkuu..
 

Attachments

  • download-1.jpg
    download-1.jpg
    8.5 KB · Views: 27
Ningehakikisha kuwa kweli wewe ni mwalimu huko UDOM ningehamisha mdogo wangu huko wallahi tena. Sio akili za academician hizi, yaani hafahamu namna ya kutatua changamoto zake mwenyewe hadi aanike aibu zake hadharani. Kama ni kweli basi ndio maana wahitimu wanakuwa watupu vichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
“Nimemkuta mke wangu AKICHORWA Tatoo ya TAKO Chumbani kwangu
Naitwa John ni mfanyakazi wa chuo Kikuu cha Udom, nimeoa mwaka jana tu na mke wangu alikuwa ni mwanafunzi wangu, tulianza mahusiano akiwa hapa chuo mie nikiwa mwalimu wake na yeye akiwa mwanafunzi mwaka 2014.

Baada ya kumaliza niliamua kumuoa, lakn baada ya kumuoa kuna vijitabia fulani amekuwa akinionyesha ambavyo sivipendi sana, amekuwa akinidharau na kutoka bila hata kuniaga, hivi majuzi nilisafiri kikazi lakini nikapata dharura nikarudi nyumbani ghafla, nilichokikuta MUNGU ndio anajua “Nilimkuta Mwanaume Chumbani kwangu AKIMCHORA TATTOO KWENYE MATAKO” Nilishikwa na butwaa lakini yeye akaonyesha kutojali kitu na akaniambia niache ushamba, ameamua Kumleta Hapo nyumbani kwani ni Sehemu Salama Zaidi.

Nishaurini wadau, Nifanyeje maana Huyu Mwanamke Ataniua na Presha

Sent using Jamii Forums mobile app
kufa tu boya wewe
 
Mkuu kila mtu huitaji nafasi yapili ,, ila Kwa Huyo mwanamke embu onyesha ur manhood ,kua mkali ..mstar waheshima kwako nilazima siku zote uwepo ........naizo tabia zake hata kukusaliti anakusaliti tuuuu ...

Kwaufupi kama nimimi ningekua nmeshamrudisha kwao aende akakue kwanza !!.
 
acha povu, "pambana na hali yako"
“Nimemkuta mke wangu AKICHORWA Tatoo ya TAKO Chumbani kwangu
Naitwa John ni mfanyakazi wa chuo Kikuu cha Udom, nimeoa mwaka jana tu na mke wangu alikuwa ni mwanafunzi wangu, tulianza mahusiano akiwa hapa chuo mie nikiwa mwalimu wake na yeye akiwa mwanafunzi mwaka 2014.

Baada ya kumaliza niliamua kumuoa, lakn baada ya kumuoa kuna vijitabia fulani amekuwa akinionyesha ambavyo sivipendi sana, amekuwa akinidharau na kutoka bila hata kuniaga, hivi majuzi nilisafiri kikazi lakini nikapata dharura nikarudi nyumbani ghafla, nilichokikuta MUNGU ndio anajua “Nilimkuta Mwanaume Chumbani kwangu AKIMCHORA TATTOO KWENYE MATAKO” Nilishikwa na butwaa lakini yeye akaonyesha kutojali kitu na akaniambia niache ushamba, ameamua Kumleta Hapo nyumbani kwani ni Sehemu Salama Zaidi.

Nishaurini wadau, Nifanyeje maana Huyu Mwanamke Ataniua na Presha

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimuoa mwanafunzi wa chuo(baadhi) ujue hiyo sio ndoa bali ni RESCUE MISSION ... Kwa sababu keshaolewa na wanafunzi wenzake na kuachika mara kibao...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom