Nmepata kazi nyingine, mshahara mdogo. Nipeni ushauri jinsi ya kuadjust lifestyle

Nmepata kazi nyingine, mshahara mdogo. Nipeni ushauri jinsi ya kuadjust lifestyle

She Quoted you

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2020
Posts
687
Reaction score
1,184
Hello,
Jamani mdgo wenu nilipata ajira ya million I0 kwa mwezi nikaichezea mpaka Contract inaisha hamna Cha maana nilichofanya.
Wengi mlinisimanga sana humu.

Lakini Sasa nimejiunza, na kwa bahati nzuri nmepata kazi nyingine ambayo take home itakuwa 1.3M
Najua itakuwa ngumu maana nilikuwa nishazoea kuspend at least mil5 kwa mwezi kama matumizi ...ulitabidi nijiadjust.

Naombeni round hii wanaJf msinibanie, mdogo wenu mnihurumie mnipe maushauri ya maana.
Naombeni mipango Nifanyeje ili nisije kurudi Tena kwenye umasikini?
 
Hadithi za Esopo.
 

Attachments

  • IMG-20240119-WA0520.jpg
    IMG-20240119-WA0520.jpg
    52.3 KB · Views: 6
Hello,
Jamani mdgo wenu nilipata ajira ya million I0 kwa mwezi nikaichezea mpaka Contract inaisha hamna Cha maana nilichofanya.
Wengi mlinisimanga sana humu.

Lakini Sasa nimejiunza, na kwa bahati nzuri nmepata kazi nyingine ambayo take home itakuwa 1.3M
Najua itakuwa ngumu maana nilikuwa nishazoea kuspend at least mil5 kwa mwezi kama matumizi ...ulitabidi nijiadjust.

Naombeni round hii wanaJf msinibanie, mdogo wenu mnihurumie mnipe maushauri ya maana.
Naombeni mipango Nifanyeje ili nisije kurudi Tena kwenye umasikini?
Ni kazi gani kwanza na profession yako ni ipi
 
Back
Top Bottom