Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
na hapa ndipo ubaguzi unapoifanya nchi inakosa barakaMajeshi yote yameongezewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na hapa ndipo ubaguzi unapoifanya nchi inakosa barakaMajeshi yote yameongezewa
Kaka Mayalla, comrade katika harakati za " Nyeupe ni nyeupe, na nyeusi ni nyeusi"...mama ana utofauti mdogo saana na baba; HAKI KATIKA UTUMISHI HAIFICHWI......just imagine, mabenki yanapandosha interest Kila kukicha, bidhaa muhimu kama petrol na Diesel ⛽ zinapana Kila kukicha,,,,,why nyongeza za mishahara imekuwa issue ya kusubirisha saana Kila mwaka? Now ni mwaka wa 7 na tunaingia wa 8 hakuna nyongeza ya mishahara.....MAMA NI KAMA BABA..... MWIGULU akituhimiza tuhamie Burundi 😄🇹🇿Japo ni kweli like mother like father, ila maza ni tofauti, ongezo lipo limechelewa kuingizwa litaingizwa September hii or October with arrears.
Usiwe na wasiwasi, nani kama Mama?.
P
TUKTA viongozi wake wanakula vya sirini, hawajawa na muda na kudai HAKI za watumishi. Wanasubiri MEI MOSI waandike na kusoma RISALA ZA ULAGHAI kisha maisha yanaendelea.🤔😁TUCTA sahivi wanapiga supu na chapati swafi
Wamejiongezea mishahara hawana time na washamba wanaochangia , mwisho wa siku wanapewa T-shirt za mei mosi basi .TUKTA viongozi wake wanakula vya sirini, hawajawa na muda na kudai HAKI za watumishi. Wanasubiri MEI MOSI waandike na kusoma RISALA ZA ULAGHAI kisha maisha yanaendelea.🤔😁N
Mama anaupiga mwingiNawaza kwa sauti....mabenki yamepandisha riba za mikopo, mafuta yamepanda, bidhaa za muhimu zote zimepanda lakini mishahara haijaongezwa. Si ongezeko la mwaka Wala marekebisho ya asilimia.
Je ni kuwa "like mother like father"..... TANZANIA NI NGUMU SAAANA.😂😂😂😂😂
Ajili ya kulinda uovu wa CCMna hapa ndipo ubaguzi unapoifanya nchi inakosa baraka
Hilo ni tawi kuu la CCM, watumishi ni wapumbavu sn, unakatwa pesa mwisho wa siku unapewa tshirt na kofia mwaka mzima umekatwa zaidi ya lakini 6?TUKTA viongozi wake wanakula vya sirini, hawajawa na muda na kudai HAKI za watumishi. Wanasubiri MEI MOSI waandike na kusoma RISALA ZA ULAGHAI kisha maisha yanaendelea.🤔😁
Lucas MwashambwaNawaza kwa sauti....mabenki yamepandisha riba za mikopo, mafuta yamepanda, bidhaa za muhimu zote zimepanda lakini mishahara haijaongezwa. Si ongezeko la mwaka Wala marekebisho ya asilimia.
Je ni kuwa "like mother like father"..... TANZANIA NI NGUMU SAAANA.😂😂😂😂😂
Ni matusi makubwa Sana kumlinganisha Mama na yule Baba.Je ni kuwa "like mother like father
Wapo wengi tuu, je kudai nyongeza sio HAKI ya Msingi ya mtumishi? LEGACY YA UTUMWA BADO IPO KATIKA MAISHA YETU.......HAYA HAKI ZETU ZINAONEKANA NI FAVOR KWA VIONGOZI.....HURUMA SAAANA WITH THIS DARK-MINDEDNESS.....Kwa maslahi ya watumishi hakuna Kama Mama na haji kutokea. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Mama anapandisha madaraja Instantly na on time.
Madhaifu madogomadogo hayo yatarekebishika.
Uliza Kama Kuna mtumishi yeyote anadai daraja.
TUELEZE UTOFAUTI WEWE MWENYE ADABU.😡Ni matusi makubwa Sana kumlinganisha Mama na yule Baba.
Unakosa adabu kabisa.
Tafuta chai mkuu... Huna shukrani.Wapo wengi tuu, je kudai nyongeza sio HAKI ya Msingi ya mtumishi? LEGACY YA UTUMWA BADO IPO KATIKA MAISHA YETU.......HAYA HAKI ZETU ZINAONEKANA NI FAVOR KWA VIONGOZI.....HURUMA SAAANA WITH THIS DARK-MINDEDNESS.....
Bainisha huo utofauti....sifa ya argument is to come with concrete artefacts.Tafuta chai mkuu... Huna shukrani.
Vp ww hugombei kigamboni maana Jimbo liko wazi...njoo bana kura yangu unayo..!!Japo ni kweli like mother like father, ila maza ni tofauti, ongezo lipo limechelewa kuingizwa litaingizwa September hii or October with arrears.
Usiwe na wasiwasi, nani kama Mama?.
P