Black Legend
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 174
- 301
- Thread starter
-
- #41
Wewe ni illiterate haoshangazi...serikali bila waajiriwa itaitwa serikali......yaani you have dark mind na roho nyeusi tiiii. Watumishi ndio watabaki bali hao wanasiasa ndio huja na kuondoka. Mmezoea UTUMWA wa fikra ndio maana hamtambui HAKI Wala umuhimu wa watumishi. Hopefully una uchawi wa rohoni.Mmeongeza output huko makazini?
Serikali inaweza kufuta 80% ya waajiriwa wake na bado ikaenda
Kuweni productive. 20% of people do 80% of the work.Wewe ni illiterate haoshangazi...serikali bila waajiriwa itaitwa serikali......yaani you have dark mind na roho nyeusi tiiii. Watumishi ndio watabaki bali hao wanasiasa ndio huja na kuondoka. Mmezoea UTUMWA wa fikra ndio maana hamtambui HAKI Wala umuhimu wa watumishi. Hopefully una uchawi wa rohoni.
Which area shows that, which proof do you have with that Inappropriate data? Tatizo lipo ulivyoaminishwa na ulivyolelewa na unachoambiwa, hakuna mfanyakazi aliyeajiriwa asiyetimiza majukumu yake...kama wapo ndio hao wanaokuaminisha hayo.. don't bring stupid politics into lives of people.Kuweni productive. 20% of people do 80% of the work.
Sio tu kuomba nyongeza ya mshahara huku efficiency kazini sifuri.
Which area shows that, which proof do you have with that Inappropriate data? Tatizo lipo ulivyoaminishwa na ulivyolelewa na unachoambiwa, hakuna mfanyakazi aliyeajiriwa asiyetimiza majukumu yake...kama wapo ndio hao wanaokuaminisha hayo.. don't bring stupid politics into lives of people.
Hahahahaha, private ipi ndugu yangu?? Hujafanya research ya kutosha...huna data, so endelea kudeliver gossips. Watumishi wa serikali wataendelea kupaza sauti zao daima, no matter how ninyi vibaraka wa uchawa na roho mbaya kutaka ku silence sauti za watumishi wa umma.Eti unataka data, kumbe 80/20 rule huijui na unaniita mimi illiterate?
Kwani hatuoni uzembe uliokithiri, ukiritimba na ucheleweshwaji? Hatuoni private sector inavyo perform with much leaner staffing?
Fanyeni kazi punguza makasiriko. Na kama kazi hailipi acha.
Pazeni tu sauti kwasababu hamna recourse nyingine wala option nyingine. Kila la kheri kwenye utumishi wenu wa kudumu.Hahahahaha, private ipi ndugu yangu?? Hujafanya research ya kutosha...huna data, so endelea kudeliver gossips. Watumishi wa serikali wataendelea kupaza sauti zao daima, no matter how ninyi vibaraka wa uchawa na roho mbaya kutaka ku silence sauti za watumishi wa umma.
Basi ukae kwa kutumia, acha kuingilia business zisizokuhusu...wewe ulijiajiri pambana uwe kama Bakharesa au MO Ili,acha watumishi wa uma wafanye kazi na kudai wanachostahili , which is actually not a favor from your family or clan.Pazeni tu sauti kwasababu hamna recourse nyingine wala option nyingine. Kila la kheri kwenye utumishi wenu wa kudumu.
Mkuu, mwaka wa uchaguzi umekaribia, pesa za kampeni lazima zipatikane kwa namna yoyote ile kwa hiyo watumishi wa umma kuweni tu wapole.Nawaza kwa sauti....mabenki yamepandisha riba za mikopo, mafuta yamepanda, bidhaa za muhimu zote zimepanda lakini mishahara haijaongezwa. Si ongezeko la mwaka Wala marekebisho ya asilimia.
Je ni kuwa "like mother like father"..... TANZANIA NI NGUMU SAAANA.πππππ
Hizo nchi nyingine za afrika mashariki, pesa zao Zina thamani ndogo, tupo sawa sawa au zipo juu kutuzidi?Tujenge nchi kwanza ili tunufaike baadaye , hata hivyo Tanzania mishahara ni mikubwa ukilinganisha na Nchi zingine za Afrika Mashariki.
Mtu hatoishi kwa mshahara tu na ukumbuke mama anaupiga mwingi. Ussahau hiloNawaza kwa sauti....mabenki yamepandisha riba za mikopo, mafuta yamepanda, bidhaa za muhimu zote zimepanda lakini mishahara haijaongezwa. Si ongezeko la mwaka Wala marekebisho ya asilimia.
Je ni kuwa "like mother like father"..... TANZANIA NI NGUMU SAAANA.πππππ
Hata September ni kimya.....mama yupo busy kuzuia maandamano Pascal Mayalla ....ndio tusubiri October....poor Tanzania π‘Japo ni kweli like mother like father, ila maza ni tofauti, ongezo lipo limechelewa kuingizwa litaingizwa September hii or October with arrears.
Usiwe na wasiwasi, nani kama Mama?.
P
Unalia mishahara achia nafasi tukae sisi tulio kitaaNawaza kwa sauti....mabenki yamepandisha riba za mikopo, mafuta yamepanda, bidhaa za muhimu zote zimepanda lakini mishahara haijaongezwa. Si ongezeko la mwaka Wala marekebisho ya asilimia.
Je ni kuwa "like mother like father"..... TANZANIA NI NGUMU SAAANA.πππππ
Unalia mishahara achia nafasi tukae sisi tulio kitaa
Gen-z huwezi jua hizi namba, bado una muda , endelea kukinga ugali kwa baba na mama....huku sio level zako.Unalia mishahara achia nafasi tukae sisi tulio kitaa
Kazi gani we kipenseli.....??? Au ndio wale wa ππΌππΌππΌπAcha kazi
Subira yavuta kheri, endeleeni kusubiria, subra ndio ile R ya Resilience kwenye 4R. Endeleeni kuwa wavumilivu, mwenye pupa hadiriki kula tamu wakati mvumilivu hula mbivu.Hata September ni kimya.....mama yupo busy kuzuia maandamano Pascal Mayalla ....ndio tusubiri October....poor Tanzania π‘