de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 2,044
- 4,558
Katika hii generation, ambayo watu wapo bize mitandaoni tume loose touch na human connection. Hakuna health relationship na watu wa karibu.
Watu tumegeuka maroboti na mazombie. Hatuna mawazo chanya. Kutwa kuilaumu serikali, maisha magumu, sijui mmomonyoko wa maadili, kumbe wachawi ni sisi wenyewe.
Upweke umekithiri kwasababu, tumeruhusu Technology iweze kureplace maisha halisi. Tunajenga mahusiano na watu artificial mitandaoni, kujilinganisha na watu wasio level zetu. Hii imesababisha tuhisi kama hatuna thamani endapo tutashindwa kufikia level za hao waliopo Mitandaoni.
Sipo hapa kukosoa watu, bali kama tujuavyo vijana ndo nguzo ya taifa na kusema kweli kama kijana naona kabisa tuendako si pazuri
Watu tumegeuka maroboti na mazombie. Hatuna mawazo chanya. Kutwa kuilaumu serikali, maisha magumu, sijui mmomonyoko wa maadili, kumbe wachawi ni sisi wenyewe.
Upweke umekithiri kwasababu, tumeruhusu Technology iweze kureplace maisha halisi. Tunajenga mahusiano na watu artificial mitandaoni, kujilinganisha na watu wasio level zetu. Hii imesababisha tuhisi kama hatuna thamani endapo tutashindwa kufikia level za hao waliopo Mitandaoni.
Sipo hapa kukosoa watu, bali kama tujuavyo vijana ndo nguzo ya taifa na kusema kweli kama kijana naona kabisa tuendako si pazuri