makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Mbona hili swali hamjibu? Mjibuni mwenzenuNani
Kasema nini
Ukorofiiiiii tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hili swali hamjibu? Mjibuni mwenzenuNani
Kasema nini
Very sure but that doesn't change tha fact that she is "immature '.Atashinda kwa 99% jiandae kisaikolojia😀😀😀
Mama mmoja kutoka huko nanjilinji ndo kayasema hayo aliyoandika mtoa madaMbona hili swali hamjibu? Mjibuni mwenzenu
Ukorofiiiiii tu!
Yani yule mpumbavu ndiyo unapoteza muda wako kumzungumzia hivi .. au ulikuwa una u underestimate upumbsvu wake 😁Wasalaam,
Wahenga hunena "Kimtokacho mtu kinywani ndicho kiujazacho moyo wake"
kwa maneno yake ya jana kwa mtu mwenye kufanya tafakuri basi ni dhahiri shahiri yale wasemayo watu yana ukweli ndani yake, hata kwa sisi tuliokuwa tunampa benefit of the doubts basi ameprove na kutudhihirishia kuwa bado ana excessive self-doubt, low self-esteem, insecurity hizi zote ni sifa za Inferiority complex, amewapa wapinzani wake wa ndani na nje ya chama kuwa they can play her mind na akaingia kwenye 18.
According to the American Psychological Association, an inferiority complex is characterized by constant feelings of inadequacy or insecurity in your daily life due to a belief that you are physically or mentally inferior to others, whether such a belief is based on a rational assessment or not.
Kwa tafsiri ya moja kwa moja inferiority complex ni tatizo linahusisha hisia za mara kwa mara za kutostahili au kutojiamini katika maisha yako ya kila siku kwa sababu ya imani kwamba wewe ni duni kimwili au kiakili kuliko wengine, iwe imani hiyo inategemea tathmini ya kimantiki au la.
Nadhani wasaidizi wake wangefocus zaidi kwenye kumjenga kisaikolojia, uwezo anao, aache kupelekeshwa kihisia na afocus kwenye kuijenga nchi, aliyoyasema jana ni muendelezo wa ngonjera, taarabu na maneno ya kwenye kanga, watanganyika tunahitaji vitendo na si maneno, watanganyika tunahitaji maendeleo na sio mipasho.
Wasalaam,
"Everything is possible for those who believe" lets meet at the top, cheers 🥂.
Mla bata
München, Deutschland 🇩🇪.
Kasemaje wengine hatujui kinglezaMama mmoja kutoka huko nanjilinji ndo kayasema hayo aliyoandika mtoa mada
Kuna vitu vinafikirisha sana, mtu mzima kama yule kuzungumza mambo ya kitoto kama yale, mpaka unashangaa kama nchi tumefikaje fikaje hapa.Yani yule mpumbavu ndiyo unapoteza muda wako kumzungumzia hivi .. au ulikuwa una u underestimate upumbsvu wake 😁
Kasemaje wengine hatujui kingleza
bongoplus.co.tz
Sawa sawa nimeelewa mkuu.![]()
Kuna Waliosema Hatuna Rais Tuna House Girl. - Bongo Plus
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu amesema wakati anachukua kijiti cha Urais kuna baadhi ya Watu (Wabongoplus.co.tz
Google translate ina kazi gani mkuu Acha kuwa mvivu😄Kasemaje wengine hatujui kingleza
Ndo unifundishe kutumia Gugu transeleta mkuuGoogle translate ina kazi gani mkuu Acha kuwa mvivu😄
Mfumo wa siasa wa kuruhusu wanasiasa kuwa wapiga kura wa chaguzi kuu ndiyo unasababisha siasa kuwa na kila mzoga muovu na wapumbavu wengi ....wanasiasa inatakiwa kuwa wachache tu na kuwe na reseni ya kuwa mwanasiasa itakayo lipiwa pesa kila baada ya miaka mi 5 japo sh mil 2 na wenye hiyo reseni wawe na strong citizen ...yaani Raia wa daraja la kwanza hili kuepuka makanyanga yenye uraia feki wa kimasrai.Kuna vitu vinafikirisha sana, mtu mzima kama yule kuzungumza mambo ya kitoto kama yale, mpaka unashangaa kama nchi tumefikaje fikaje hapa.