Acheni hao malaya they belong to the streets!!!Mkuu unajua umeongea ukweli sana kaka....
Mifano iko mingi huku mtaani ,kinachonikera tu ni kuwa mwana aliyeoa "type" hiyo anaishia kuteseka na mtu asiyeijua thamani ya mwanaume....yaani unateswa na aliyelala na watu zaidi ya 100 huku akiendelea kuwatembezea awapo hapo ndoani....this is a pathetic!
ππKaa mbali na retired hoes/ bitches/ bed to bed midfilders!!!K wameharibika akili sana hawafai kuwekwa ndani....mtu anasubiri achoke kudanga kisha aolewe. Akisha olewa anaanza kukitembeza kwa ma X walewale ambao walikataa kumuoa. Yaani ukiwafikiria utagundua akili zao hazipo sawa
Mwanaume kama unajitambua usioe.Kataa ndoa tunakusanua kimbia usioe.Ni mara elfu saba mara sabini uzalishe utunze ila kamwe usioeeeeeeee!!!!!
Usioe mwanamke aliyesoma,kimbia usioe utajuta.Wenzako wameo kwa kujifanya much know saivi wapo wanashinda baa na vijiwe vya kahawa nyumba zao hazikaliki hazilaliki.Wananyimwa mbususu wanakazi ya kubembeleza na kuomba kila iitwapo leo wanaomba kula mbususu.Mwanaume/kijana kimbia usikubali kuingia kwenye huo mtego.Ndoa ni utapeli.
Ndoa ni chaka la wanawake kutafuta unafuu wa maisha na kutimiza fantacy zao za kuvaa gauni na pete ya harusi.Kijana usikubali kutumika kutimiza fantacy za watu.Ni aibu ni dharau kiwango cha SGR kutumiwa na mwishowe kutafutiwa sababu ya kuachana.
Ukioa jipange kuwa unapangiwa kupata haki yako ya ndoa.Ukioa jipange kupata mpinzani na sio msaidizi.Ukioa jiandae na kuishi maisha ya upweke kuliko ulivyokuwa singo.Ukioa jiandae kufa mapema.
Salama yako ni KATAA NDOA.Jiinvest,jipende jithamini wewe kabla ya wengine.Furaha yako ipo ndani yako usitegemee furaha kutoka kwa walimwengu.Kataa ndoa kulinda uhuru wako,hisia zako,kulinda afya yako ya akili na uchumi wako.
Kama hamuamini muulizeni Ki- Awadhi.
πππKATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
Wewe unitumie hela mimi au mimi ndio nikutumie hela wewe?Wewe kama unataka bia za bure sema nikutumie muamala ukalewe ila mambo ya kulazimisha mimi ni mlevi acha bwana mdogo.
unajua usiongee vitu ambavyo huna uwezo wa kuvitetea ukiulizwa uteme fact hapa.Huo ujinga uliomezeshwa acha kabisa.Ndoa ni agano la Mungu
Ni agano la Mungu kwa mwanamke aliyeitunza bikira yake na aliye tayari kua chini ya mwanaumeNdoa ni agano la Mungu
Wewe kiazi mbatata umepanic nini sasa.Mada imekugusa sana inaonekana wewe unanyimwa UNYUMBA!!!Toka huko kwenye ndoa unapata stress bure.Wewe unitumie hela mimi au mimi ndio nikutumie hela wewe?
Kwanza una shida hauna hela ndio maana unaanzisha nyuzi za hovyo, ni kweli umelewa.
Hakuna mtu mwenye uwezo mkubwa kiuchumi atakaa kulalamika kuhusu wanawake na ndoa, hayupo, nioneshe mmoja anayepinga ndoa, na sababu zake!?
Zaidi sana ya ubinafsi ni nini?
Nimesema wewe ulichezea maisha ya mabinti wa watu sasa unavuna unalia.
Hauna hela ya kunitumia mimi, kijana, hauna, niamini nachokwambia, wewe una stress ndizo unataka kumtumia kila mtu humu na tunakataa.
Huyo shusho mwenyewe aliemuimbia hayo mashairi mazuri mumewe wameachanaTusisikilize walimwengu hawana wema
Hawana wema hao
Tupatapo neno tulichuje lililo jeema liwe letuuu mpenzi wangu nakupentaaaaa
Kuoa ni muhimu ikiwa upo tiyar kwa ndoa na sio vinginevy yakizdi sio lazima unaweza tua mzigo!
Mtu ashaliwa na watu kibao wengine hata hawakumbuki....anaona ashachoka hakuna anayemtaka soko lake limeisha anatafuta simp mmoja ili aolewe, basi akishaolewa atulie hakuna anawarudia tena wale ma X. Yaani hawa K ni shidaππKaa mbali na retired hoes/ bitches/ bed to bed midfilders!!!
Haya ni magari ya kupatia uzoefu kwa madereva wapya.Itakuwa ajabu sana wewe ukaoa na kuweka ndani demu mwenye experience ya kutosha ya kunyonya,kulamba na kusukumiwa miti tangu yupo primary mpaka wewe fala mmoja uje unamuweka ndani.
Hapa hakuna aliyepanic, zaidi sana wewe una msongo wa mawazo na huelewi ufanye nini...Wewe kiazi mbatata umepanic nini sasa.Mada imekugusa sana inaonekana wewe unanyimwa UNYUMBA!!!
Inasikitisha sana mkuu π
Hiyo rukhsa, na ni natural kabisa hata wewe ukianza kufanya ufugaji utaielewa sana hii situationVp na wale wanao oa wake 2 mpaka wa4?? Akinyimwa huku anaenda kule!!
Ww huwez kumfanya lolote mke wangu, zaid zaid tuu labla ww ndo akupandeNa wake zenu tunawabong'oa na hamna kitu mnaweza fanya.
Mama ako angekataa ndoa? Au ww ulipatikana kutokana na tamaa za mamaako za kutaka chips guest?Hakuna mwanamke asiye malaya labda kama umeshushiwa kutoka mbinguni.
Wanawake wote wa karne hii ya 20 ni malayaaaaaaa....solution ni KATAA NDOA.
Upweke haujawahi ua mtu labda ujiue mwenyew ila wapo waliofia ndani ya ndoa ndugu..Upweke unaua
πππHuna akili!!!Mama ako angekataa ndoa? Au ww ulipatikana kutokana na tamaa za mamaako za kutaka chips guest?
we punguani hivi unasoma unayoyaandika kweliπππ.Hapa hakuna aliyepanic, zaidi sana wewe una msongo wa mawazo na huelewi ufanye nini...
Inawezekana pia una matatizo hauna nguvu za kiume ama una matatizo mabaya zaidi ya la nguvu za kiume sasa unalazimisha kila mtu awe katika hali kama yako.
Watafute uliowakosea uwaombe msamaha kijana kuna watu hawakosewi...