LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Ni uhuni mtupu...Niwe mkweli tu, falsafa ya #Kataa Ndoa sijawahi kuielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uhuni mtupu...Niwe mkweli tu, falsafa ya #Kataa Ndoa sijawahi kuielewa
Endelea kujifanya una roho nzuri kwa mwanamke.Us3nge ni mtu hataki kuoa ila anataka kuongeza idadi ya singo maza
Kaoe ila utayakumbuka maneno ya kataa ndoa🤗Tusisikilize walimwengu hawana wema
Hawana wema hao
Tupatapo neno tulichuje lililo jeema liwe letuuu mpenzi wangu nakupentaaaaa
Kuoa ni muhimu ikiwa upo tiyar kwa ndoa na sio vinginevy yakizdi sio lazima unaweza tua mzigo!
Hahahaa daahh sijaoa lakini siamini kwamba hizi ndoa zina hasaraa tuu na hakuna faida kabisaKataa ndoa ni kama hamasi wa kule Gaza u will fight them but u cant finish them.
KATAA NDOA,NI WITO NA MITUME WAKE TUPO NA WATAENDELEA KUZALIWA NA KUZALIWA YOU WONT BELIEVE IT BUT THATS THE TRUHT!!!
Unaweza kukuta mtoa mada amenyimwa na huyo malaya wake huko anakuja kulialia hapaJf kila MTU hataki kuoa but on ground things are so different. Vijana wanaoa vizuri tu, and Ofcoz wanaosema usoe wao wameoa.
Za kuambiwa...
Huyo mbugira ni SIMP.Endelea kujifanya una roho nzuri kwa mwanamke.
Umeelewa nilichoandika?Endelea kujifanya una roho nzuri kwa mwanamke.
Nitaolewa ila sio na kataa ndoa ambao nao wanahitaji kuolewa mkuu..!! 😹Kutoolewa au kutooa ni tatizo, Kwa nn usiolewe kama kiafya na kiakili upo sawa?
Insha'Allah nitaoa na utakuwepo kushuhudia HiloKaoe ila utayakumbuka maneno ya kataa ndoa🤗
Ndoa ziliishia karne ya 19.Hii karne wanazaliwa maroboti ambao hayajawq programmed to be wifed but wapo wafaidike na privilage zitokanazo na Ndoa....mark this words u will remember them one time in your life time!!!
Mtaolewa na wajinga. Nyie tutaishi wote full stop.
Hakuna mwanamke asiye malaya labda kama umeshushiwa kutoka mbinguni.Cha msingi ni moja tuu, wanaume tujitahidi tusioe wanawake malaya.
Hatuoi malay@ kama weweNitaolewa ila sio na kataa ndoa ambao nao wanahitaji kuolewa mkuu..!! 😹
Waulize waliooa wamezoea kupewa kwa masharti.Kuna mtu kanyimwa na weekend yote hii 😃
Endelea kujifanya good boy kwa hawa machangudoa wa mjiniUmeelewa nilichoandika?
👏👏👏👏👏👏Kataa malayaaaaHatuoi malay@ kama wewe
Na sisi hatuolewi na machokoooo 😹😹Hatuoi malay@ kama wewe
Sitetei uzinzi nipo kwenye mfungoMwanaume kama unajitambua usioe.Kataa ndoa tunakusanua kimbia usioe.Ni mara elfu saba mara sabini uzalishe utunze ila kamwe usioeeeeeeee!!!!!
Usioe mwanamke aliyesoma,kimbia usioe utajuta.Wenzako wameo kwa kujifanya much know saivi wapo wanashinda baa na vijiwe vya kahawa nyumba zao hazikaliki hazilaliki.Wananyimwa mbususu wanakazi ya kubembeleza na kuomba kila iitwapo leo wanaomba kula mbususu.Mwanaume/kijana kimbia usikubali kuingia kwenye huo mtego.Ndoa ni utapeli.
Kama hamuamini muulizeni Ki- Awadhi.
📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!