No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Ww jamaa hujawaelewa wana,nihivi sio kila pahala pakuonesha misimamo yako kuna sehemu ukionesha hiyo misimamo na sheria zako nisawa nawork done is equal to zero je uendelee kugangamala tu hata kama unaona kiza kinene mbele kisa ww nimwanaume???ndio pale wahusika wanasema niheri aondoke amwache namaisha yake kuliko kuendelea kusimamia shoo ambazo madhara yake nikujiua au kumchoma kisu mwanamke kisa kushindwa kukuobey as her husband!!!!
 
Wakati huo wewe una elimu gani..??

CC To yeye and Nakadori
 
Jipeemoyooo utashindaaaaaaaa tafuta nyuma kuna.thread wenzio walisiifiaaa graduates n phd

Single tuna waozooooooom tu
 
Na mwanamke na mtoto mmoja ana degree hana shida binti wa wawatu na haaachiki.Na madhaifu bilioni 10 lakini yupo na mimi tu ,alinitoa hostel akanileta mtaa mwaka wa 8 huu .Toka sina kazi mpaka nakazi yupo.Sikuelewi kabisa mtoa mada unazungumza vitu gani.
 
Umejitahidu kumjibu jamaa nakumuelewesha ukweli wa mambo ulivyo ila jamaa andhani eti yy nimwamba nakwba anaweza kucontro kila aina ya mwanamke atakae kutana nae mbele,huo ni ulongooo,sio kila mwanamke anaweza kufuatisha ukitakacho ndio maan kuna kuachana ambacho ndio msingi wahoja.kongole brother.
 
Jipeemoyooo utashindaaaaaaaa tafuta nyuma kuna.thread wenzio walisiifiaaa graduates n phd

Single tuna waozooooooom tu
Pdidy mpaka leo upo single mkuu?.... maana hii ID yako hapa jukwaani ni ya kitambo... au ndo senior bachelor
 
Mzobe mzobe 🤣🤣
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…