Pre GE2025 No reform no election Kauli mbiu inayothibitisha kuwa Chadema ya Mbowe sio sawa na Chairman Lissu. Lissu yupo kwa maslahi ya taifa

Pre GE2025 No reform no election Kauli mbiu inayothibitisha kuwa Chadema ya Mbowe sio sawa na Chairman Lissu. Lissu yupo kwa maslahi ya taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Haina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.

Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.

Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.

Nawakilisha nikiwa Igunga.
 
Haina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.

Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.

Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.

Nawakilisha nikiwa Igunga.
Lissu mwenyewe amesema kuwa kauli mbiu ya " No Reform No Elections " ilianzishwa chini ya uongozi wa Mbowe. Kwa hiyo alikuwa anadanganya?

Amandla...
 
Haina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.

Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.

Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.

Nawakilisha nikiwa Igunga.
Cjui km watakuelewa
 
Haina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.

Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.

Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.

Nawakilisha nikiwa Igunga.
Kwahiyo unaamini Tanzania haitafanya Uchaguzi Mkuu kwasababu Lissu kasema? Seriously?
 
Ni either CCM itoke au mfumo ufanyiwe reform tuwe na mseto utakaohusisha upinzani kwenye cabinet.

Tunahitaji ushiriki wa Watanzania wote sasa kwenye mifumo sio elite group linalotokana na CCM na mamluki wake, NI wakati wa damu mpya na changa kuingia kwenye mifumo kuendana na kasi ya dunia.
 
Lissu mwenyewe amesema kuwa kauli mbiu ya " No Reform No Elections " ilianzishwa chini ya uongozi wa Mbowe. Kwa hiyo alikuwa anadanganya?

Amandla...
Soma andiko alafu kuwa muelewa.
 
Wewe ni mjinga, bila shaka upo juani ila ulipokuwa kivulini ulimuunga mkono yule chizi wa Chato.
Ni kweli unavyosema. Lakini you never know, kaamua kukimbia upande wa dhuluma na kujiunga na upande wa HAKI. Na siyo yeye tu watakuja na wengine.

Ifike mahali wote tuimbe wimbo mmoja ambao ni HAKI. Tusiwabeze bali tuwapongeze kwa kutambua ukweli ulipo.
 
Lissu kwa nafasi yake ni taasisi.
Anawakilisha maoni na matakwa ya umma wa Watanzania walio wengi
Ahahahahaha! Na Mzee Hashim Rungwe je? Na yeye anawakilisha taasisi? Na Rais Samia yeye hawakilishi taasisi na maoni ya wananchi walio wengi? Kama Lissu ana wananchi walio wengi mwambieni awapeleke barabarani kesho! Ahahahahaha!!
 
Aisee.
Nakumbuka ulikuwa unamuunga mkono yule kichaa kutoka Chato.


Jamani, tumwache marehemu apumzike. Iwe alitenda mema au mabaya, ukurasa wake umefungwa Duniani. Tuangalie sisi tuliopo, tunafanya nini.
 
Back
Top Bottom