Pre GE2025 No reform no election Kauli mbiu inayothibitisha kuwa Chadema ya Mbowe sio sawa na Chairman Lissu. Lissu yupo kwa maslahi ya taifa

Pre GE2025 No reform no election Kauli mbiu inayothibitisha kuwa Chadema ya Mbowe sio sawa na Chairman Lissu. Lissu yupo kwa maslahi ya taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu mwenyewe amesema kuwa kauli mbiu ya " No Reform No Elections " ilianzishwa chini ya uongozi wa Mbowe. Kwa hiyo alikuwa anadanganya?

Amandla...
Kuanzisha na kutekeleza ni vitu viwili tofauti.
 
Soma andiko alafu kuwa muelewa.
Hapo ujue hujajieleza vizuri. Liandike tena ili tulielewe unavyotaka tuelewe. Shida ni kuwa kichwa chako cha habari hakiendani na ulichoandika. Kwenye kichwa umetaja No Reform No Elections halafu uka mute kwenye habari yenyewe.

Amandla...
 
Ni mtazamo wako, CDM ni ile ile. Lissu anachofanya ni mwendelezo tu wa sera thabiti za chama cha watanganyika.
 
Ni mtazamo wako, CDM ni ile ile. Lissu anachofanya ni mwendelezo tu wa sera thabiti za chama cha watanganyika.
[U/QUOTE]
Sio kweli. Mbowe alikuwa akienda kunywa juice za Ceres na kuwarubuni Watanganyika
 
Hapo ujue hujajieleza vizuri. Liandike tena ili tulielewe unavyotaka tuelewe. Shida ni kuwa kichwa chako cha habari hakiendani na ulichoandika. Kwenye kichwa umetaja No Reform No Elections halafu uka mute kwenye habari yenyewe.

Amandla...
Iq yako ni ndogo sana.
 
Haina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.

Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.

Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.

Nawakilisha nikiwa Igunga.
Kwa Heshima Kabisa, naomba niqioye uzi wako.

Nakupongeza kwa kuungana na Wanaccm Wengi wanaomuelewa sana Mh Lissu.

Hongera sana.
Kweli huu Mwaka ni wa Moto
 
Haina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.

Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.

Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.

Nawakilisha nikiwa Igunga.

Haina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.

Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.

Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.

Nawakilisha nikiwa Igunga.
Lisu ni tapeli la kisiasa
 
Back
Top Bottom