Kuanzisha na kutekeleza ni vitu viwili tofauti.Lissu mwenyewe amesema kuwa kauli mbiu ya " No Reform No Elections " ilianzishwa chini ya uongozi wa Mbowe. Kwa hiyo alikuwa anadanganya?
Amandla...
Ahahahahaha! Na Mzee Hashim Rungwe je? Na yeye anawakilisha taasisi? Na Rais Samia yeye hawakilishi taasisi na maoni ya wananchi walio wengi? Kama Lissu ana wananchi walio wengi mwambieni awapeleke barabarani kesho! Ahahahahaha!!
Hapo ujue hujajieleza vizuri. Liandike tena ili tulielewe unavyotaka tuelewe. Shida ni kuwa kichwa chako cha habari hakiendani na ulichoandika. Kwenye kichwa umetaja No Reform No Elections halafu uka mute kwenye habari yenyewe.Soma andiko alafu kuwa muelewa.
Wakati huo viongozi wa sasa hawakuwa viongozi?Kuanzisha na kutekeleza ni vitu viwili tofauti.
Iq yako ni ndogo sana.Hapo ujue hujajieleza vizuri. Liandike tena ili tulielewe unavyotaka tuelewe. Shida ni kuwa kichwa chako cha habari hakiendani na ulichoandika. Kwenye kichwa umetaja No Reform No Elections halafu uka mute kwenye habari yenyewe.
Amandla...
Kwa hiyo unadhani kwa kunitukana ndio una thibitisha kuwa wewe ni genius?Iq yako ni ndogo sana.
Kwa Heshima Kabisa, naomba niqioye uzi wako.Haina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.
Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.
Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.
Nawakilisha nikiwa Igunga.
Hao ni wale wale Kaka Idugunde wanakuelewa lakini sasa wayafanyaje na wao elimu zao ndio hivyo tenaHuwezi kuona hata nondo nilizoshusha?
Haina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.
Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.
Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.
Nawakilisha nikiwa Igunga.
Lisu ni tapeli la kisiasaHaina ubishi. Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania upo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani. Hata Anthony Diallo aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza alishathibitisha. Nape ndio aliweka wazi kabisa.
Sasa kwa nini mabadiliko yasifanyike ili tupate Chama ambacho kitawakomboa Watanzania kutoka katika lindi la umasikini kwa kura halali ambazo zitasimamiwa na watu ambao hawajateuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Soma Pia: Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Mbowe angekuwa mtu anayependa maslahi ya taifa letu. Angelisimamia hili kipindi chote akiwa mwenyekiti zaidi ya miaka 35.
Lissu yupo kwa ajili ya maslahi ya Watanganyika.
Nawakilisha nikiwa Igunga.
Unaona kama vile umeongea point😅😅Lisu ni tapeli la kisiasa
Wameingia kwenye uharakati badala ya siasaWewe unazo nyingi. Tukutane kwenye kampeni halafu ulete hiyo No Reform, No Election uone kama utaliona jua la mwaka 2026! Nyambafu!!!
Ni kibaka na tapeli la kisiasaUnaona kama vile umeongea point😅😅
Ndio wasiojulikana?Ni kibaka na tapeli la kisiasa
CHADEMA IMEPOTEZA MVUTO KWA KUKOSA MAARIFANdio wasiojulikana?
Wajinga sana Hawa. Eti hakuna uchaguzi. Nyambafu! Mbona wao wamefanya uchaguzi?Wameingia kwenye uharakati badala ya siasa
Hahahaaa.Lisu kachanganyikiwaWajinga sana Hawa. Eti hakuna uchaguzi. Nyambafu! Mbona wao wamefanya uchaguzi?
Na wamechanganyikiwa kweri kweri! Lissu HANA UWEZO wa kuongoza chama kwenye Uchaguzi Mkuu. HANA!Hahahaaa.Lisu kachanganyikiwa