Pre GE2025 No reform no election Kauli mbiu inayothibitisha kuwa Chadema ya Mbowe sio sawa na Chairman Lissu. Lissu yupo kwa maslahi ya taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

No Reform , No Election.

Mbowe alikaa jela ,asilianzishe then akatukimbia kwenda ubelgiji.
 
Aisee.
Nakumbuka ulikuwa unamuunga mkono yule kichaa kutoka Chato.
Chizi wa chato aliifanya tz iheshimike, had sasa kwa sababu ya yule chizi naona bloggers wengi ktoka mataifa tofauti wanakuja tz kutafta habari, chizi alilipaisha taifa kwa speed ya ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…