Pre GE2025 'No Reforms No, elections' ni mkakati wa Tundu Lissu tuwe walemavu kama yeye, akili za kuambiwa changanya na za kwako

Pre GE2025 'No Reforms No, elections' ni mkakati wa Tundu Lissu tuwe walemavu kama yeye, akili za kuambiwa changanya na za kwako

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tundu Lissu kWa sasa ni mlemavu, hiyo no reform no election ni mkakati wake ili tupambane na dola tuumizwe tuwe kana yeye, mwenzetu kila baada ya muda anaenda kucheki afya ulaya, mm hata nauli ya kwenda Temeke hospitali ntakuwa nayo? after all watoto wake Lissu wako ulaya mm wa kwangu wa kimbinyiko, akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Ndugu yangu mmoja alikuwa anajifanya Chadema sana, cku moja akaenda Mahakama ya Kisutu kuunga mkono Chadema, hadi leo amepooza kiuno, miguu haina nguvu, mke kamkimbia sasa amebakia ombaomba tu, anajuta

Wakat wa uchaguzi 2020 Lissu alimtishia sana Magufuli, kumbe ilikuwa mikwara tu, uchaguzi Umeisha Lissu akasindikizwa ubelgiji na mabalozi had airport

Mwenzetu familia yake yote iko ubelgiji, amebakia na nguo tu na gari yake ambayo anytime anaweza kuiuza, mke wa Lissu mwenyewe anasema Tanzania kwake sio salama hivyo hawez kurudi wewe kapuku kaa msikilize Lissu atangaze muandamane mzuie uchaguzi mtaona faida yake.

Kızza Besigye yuko wapi, leo anaenda Mahakamani na wheelchair, TMA wametangaza kiwango cha joto kilivyokuwa kikali je huko jela joto hili mmeswagwa mko Mia 200 mtaweza, akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Mwambieni Lissu kama anataka mapambano arudishe familia nchini

Soma pia:
Wewe jamaa mpumbavu sana
 
Tundu Lissu kWa sasa ni mlemavu, hiyo no reform no election ni mkakati wake ili tupambane na dola tuumizwe tuwe kana yeye, mwenzetu kila baada ya muda anaenda kucheki afya ulaya, mm hata nauli ya kwenda Temeke hospitali ntakuwa nayo? after all watoto wake Lissu wako ulaya mm wa kwangu wa kimbinyiko, akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Ndugu yangu mmoja alikuwa anajifanya Chadema sana, cku moja akaenda Mahakama ya Kisutu kuunga mkono Chadema, hadi leo amepooza kiuno, miguu haina nguvu, mke kamkimbia sasa amebakia ombaomba tu, anajuta

Wakat wa uchaguzi 2020 Lissu alimtishia sana Magufuli, kumbe ilikuwa mikwara tu, uchaguzi Umeisha Lissu akasindikizwa ubelgiji na mabalozi had airport

Mwenzetu familia yake yote iko ubelgiji, amebakia na nguo tu na gari yake ambayo anytime anaweza kuiuza, mke wa Lissu mwenyewe anasema Tanzania kwake sio salama hivyo hawez kurudi wewe kapuku kaa msikilize Lissu atangaze muandamane mzuie uchaguzi mtaona faida yake.

Kızza Besigye yuko wapi, leo anaenda Mahakamani na wheelchair, TMA wametangaza kiwango cha joto kilivyokuwa kikali je huko jela joto hili mmeswagwa mko Mia 200 mtaweza, akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Mwambieni Lissu kama anataka mapambano arudishe familia nchini

Soma pia:

Kaa nyumbani utawaliwe milele kama mtumwa . Furahia kubaki kupiga magoti, rushwa ya kupindukia, matabaka, wizi wa kura na kuongozwa na familia chache. Wengine tuache tupiganie vizazi vijavyo. Ulemavu , uzima anatoa Mungu sio Samia
 
.........The phrase "No reforms, no elections" is a political slogan often used by opposition groups, activists, or civil society organizations to demand changes in the electoral system or governance before participating in elections. It essentially means that unless meaningful reforms—such as ensuring free and fair elections, addressing corruption, or improving democratic institutions—are implemented, they will not take part in the electoral process.

This stance is usually taken in situations where:

  • The electoral process is seen as unfair, biased, or controlled by those in power.
  • There is a lack of transparency in voter registration, vote counting, or election monitoring.
  • Opposition parties or candidates face intimidation, legal barriers, or suppression.
  • Reforms related to governance, human rights, or the judiciary are needed for a truly democratic process.
By refusing to participate, groups using this slogan aim to pressure governments or ruling parties to implement necessary reforms. However, in some cases, boycotting elections can also weaken opposition influence, as ruling parties may proceed with elections regardless...........
 
Huyo ni mkimbizi bado.
Anacreat fear attention my friend ili aende kuweka reason huko apewe kibali.
Hes not about reform.election nothing .
Ataandoka sa mbili asubuhi na kuwaacha na chama chenu hapo.
Hahitaji chochote zaidi ya ruzuku na inter influence.
Utakuja kukumbuka usemi after 2 years
 
Tundu Lissu kWa sasa ni mlemavu, hiyo no reform no election ni mkakati wake ili tupambane na dola tuumizwe tuwe kana yeye, mwenzetu kila baada ya muda anaenda kucheki afya ulaya, mm hata nauli ya kwenda Temeke hospitali ntakuwa nayo? after all watoto wake Lissu wako ulaya mm wa kwangu wa kimbinyiko, akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Ndugu yangu mmoja alikuwa anajifanya Chadema sana, cku moja akaenda Mahakama ya Kisutu kuunga mkono Chadema, hadi leo amepooza kiuno, miguu haina nguvu, mke kamkimbia sasa amebakia ombaomba tu, anajuta

Wakat wa uchaguzi 2020 Lissu alimtishia sana Magufuli, kumbe ilikuwa mikwara tu, uchaguzi Umeisha Lissu akasindikizwa ubelgiji na mabalozi had airport

Mwenzetu familia yake yote iko ubelgiji, amebakia na nguo tu na gari yake ambayo anytime anaweza kuiuza, mke wa Lissu mwenyewe anasema Tanzania kwake sio salama hivyo hawez kurudi wewe kapuku kaa msikilize Lissu atangaze muandamane mzuie uchaguzi mtaona faida yake.

Kızza Besigye yuko wapi, leo anaenda Mahakamani na wheelchair, TMA wametangaza kiwango cha joto kilivyokuwa kikali je huko jela joto hili mmeswagwa mko Mia 200 mtaweza, akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Mwambieni Lissu kama anataka mapambano arudishe familia nchini

Soma pia:
COWARD
 
Ubinafsi mbaya sana. Uliwahi kujiuliza waliofanya harakati za kudai uhuru walifikiria kama wewe? Ingekuaje leo?
 
Back
Top Bottom