ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
- Thread starter
- #21
Baba usijifanye unajuwa English hapa hiyo lugha imelala. Ilikuwa tu hand mistake. Take it easy. Mimi Kwenye hiyo lugha nakutoa makamasiNimependa kingereza chako ulichotumia ku-google: 'How many cars in North Korea'...najitahidi kuelewa ulichomaanisha lakini hadi sasa nimetoka kapa