North Korea Cars

North Korea Cars

Nimependa kingereza chako ulichotumia ku-google: 'How many cars in North Korea'...najitahidi kuelewa ulichomaanisha lakini hadi sasa nimetoka kapa
Baba usijifanye unajuwa English hapa hiyo lugha imelala. Ilikuwa tu hand mistake. Take it easy. Mimi Kwenye hiyo lugha nakutoa makamasi
 
Jindallae mobile phone. Made in North Korea
1653331518777.png
 
Hawa lazima wawe masikini maana kule hawana dini na wanamuabudu Rais wao as god... Kazi kwako
Wewe mwenye dini nchi yako ni ya ngapi kwa utajiri baada ya supa pawa wa mchongo marekani.
Hizi dini zinawapumbaza sanaaa hizi taasisi mliletewa na babu zao ili kuwanyonya,kuwaibia,kuwapumbaza nyie msioelewa.
Kabla ya wao kuja tulikua tunamuabudu Mungu kwa njia zetu sasa ww unajiona mjanja kwa sababu ya izo taasisi.
Bob marley anasema jiondoe kwenye fikra za kitumwa.
 
Wako vizuri kwenye silaha ila magari ni anasa kwao na ni ghali au hawaruhusiwi
Ila kwa uhaba wa magari unaweza ukalala barabarani na gari isipite kabisa au moja ikakukwepa [emoji23]

Ushahidi kwa msaada wa Google
IMG_6688.jpg

IMG_6690.jpg

IMG_6689.jpg
 
North Korea hakuna foleni kuna siku picha zilipigwa barabarani na watalii watoto wako katikati ya barabara wanacheza. Yani kupita magari ni nadra kwanza apartments za high ranking individuals zikiwa nje na hiyo barabara ndio kabisa hata maintenance hawafanyi ipasavyo.

Sasa ole wako uonekane unapiga picha bila ruhusa. Utajuta
Watasema propaganda.
 
Baba usijifanye unajuwa English hapa hiyo lugha imelala. Ilikuwa tu hand mistake. Take it easy. Mimi Kwenye hiyo lugha nakutoa makamasi
Siku zote anaejifanya kukosoa lugha utakuta yeye kasoma kwa kuunga unga hata akitaka kuandika anatumia dictionary [emoji3]
 
Nimependa kingereza chako ulichotumia ku-google: 'How many cars in North Korea'...najitahidi kuelewa ulichomaanisha lakini hadi sasa nimetoka kapa
Katika google hauna haja ya kuandika maneno mengi. Yaani angeweza andika 'cars in north korea' na majibu yangekuja.

Kuandika maneno mengi kunasababisha uzalishaji wa carbon waste, kuna mafunzo ya jinsi ya kuandika ili usearch na idea ni kupunguza carbon waste. Kwa kuangalia ulichoandika nafikiri haujui sana kuhusu google search engine.
 
Sisi tulianza na DOS, tukaingia na Windows NT baadae Windows Y2K then hiyo Xp.
So hakuna kipya kwenye OS.
Na wewe umeona kwamba user interface ya hiyo browaser ni kama ya xp au vista? Na hiyo red star ni kama Mac
 
Hivi mnanua kwa miundombinu Singapore wako vyema kuliko America.
America pa kawaida sana ni Kama pale Mnazi mmoja tu hivyo Korea pako poa.
 
North Korea hakuna foleni kuna siku picha zilipigwa barabarani na watalii watoto wako katikati ya barabara wanacheza. Yani kupita magari ni nadra kwanza apartments za high ranking individuals zikiwa nje na hiyo barabara ndio kabisa hata maintenance hawafanyi ipasavyo.

Sasa ole wako uonekane unapiga picha bila ruhusa. Utajuta
1.wana magari ya Umma
2. Hawasimami foleni wala kusimama kwenye daladala
3. Huduma nyingi za kijamii bure, Elimu, Afya etc

Toka North Korea wawasamehe ambao walitoroka Nchi yao Maelfu wanarudi, kuna Video moja nikipata muda nitakuekea Jamaa Analia Katoroka North Kaja South Maisha magumu kila kitu alipie.

Na Pyongyang huwezi ifananisha na Mji wowote Afrika mashariki, Hawana Utajiri wa ulaya ila pia hawana Umasikini wa Africa.

City_FNJ_2015-09-20_01cr.jpg


City_FNJ_2015-09-20_02cr.jpg
 
Back
Top Bottom