Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Huko kuunga unga ndiko kunakotakiwa sasa yani;Siku zote anaejifanya kukosoa lugha utakuta yeye kasoma kwa kuunga unga hata akitaka kuandika anatumia dictionary [emoji3]
*Chekechea 2 yrs.
*Primary 7 yrs.
*Secondary 6 yrs (form one - four = 4 yrs + High school/form five - six = 2 yrs).
*University = 3 yrs.
Total 18 yrs = Elimu ya kuunga unga sababu hajafika tu elimu ya Chuo kikuu kabla ya kuanzia chekechea.