Ficha upumbavu wako na kukurupukia mambo usiyoyajua....
Mleta mada mwenyewe kakubali kuwa alikosea ktk kuandika halafu wewe kwa upumbavu wako wadai alikusudia kutumia maneno machache.
Kuna kanuni za kutumia maneno machache 'key words' ktk ku-search information lakini si kwa kuandika maneno mengi (sentensi ile) vile.
By the way, acha ushamba kuona google search engine ni kitu kikuubwa hata uone kuwa kutumia hiyo Google kunahitaji taaluma kubwa, wakati hata mtoto wa darasa la 7 awezaitumia hiyo Google....Watu tunaelewa kutumia Web of science, Scopus, PubMed n.k. ambavyo yawezekana mpaka kufa kwako hutokujajua namna ya ku-search material ktk hizo databases
View attachment 2237171