Kwa hiyo hizo picha ndiyo kudhihirisha maisha mazuri ya watu wa N.Korea[emoji2960].Hata Dar au Nairobi picha za usiku zinavutia sana tu1.wana magari ya Umma
2. Hawasimami foleni wala kusimama kwenye daladala
3. Huduma nyingi za kijamii bure, Elimu, Afya etc
Toka North Korea wawasamehe ambao walitoroka Nchi yao Maelfu wanarudi, kuna Video moja nikipata muda nitakuekea Jamaa Analia Katoroka North Kaja South Maisha magumu kila kitu alipie.
Na Pyongyang huwezi ifananisha na Mji wowote Afrika mashariki, Hawana Utajiri wa ulaya ila pia hawana Umasikini wa Africa.
Kaaah we jamaa 🙌😁😁😁😁😁Nimependa kingereza chako ulichotumia ku-google: 'How many cars in North Korea'...najitahidi kuelewa ulichomaanisha lakini hadi sasa nimetoka kapa
MkuuHawa lazima wawe masikini maana kule hawana dini na wanamuabudu Rais wao as god... Kazi kwako
Ficha upumbavu wako na kukurupukia mambo usiyoyajua....Katika google hauna haja ya kuandika maneno mengi. Yaani angeweza andika 'cars in north korea' na majibu yangekuja.
Kuandika maneno mengi kunasababisha uzalishaji wa carbon waste, kuna mafunzo ya jinsi ya kuandika ili usearch na idea ni kupunguza carbon waste. Kwa kuangalia ulichoandika nafikiri haujui sana kuhusu google search engine.
Ni kweli mkuu, nimeshakubali toka mwanzo kuwa umenitoa kamasi kwenye kimalkia, ndio maana nikasema kuwa nimetoka kapa kwenye sentensi yako hii hapaBaba usijifanye unajuwa English hapa hiyo lugha imelala. Ilikuwa tu hand mistake. Take it easy. Mimi Kwenye hiyo lugha nakutoa makamasi
Daah Ila wewe jamaa unapiga Pini balaa🙌😄😄😁😁Ni kweli mkuu, nimeshakubali toka mwanzo kuwa umenitoa kamasi kwenye kimalkia, ndio maana nikasema kuwa nimetoka kapa kwenye sentensi yako hii hapa
View attachment 2237195
Unahisi ukitukana ndiyo utaeleweka?Ficha upumbavu wako na kukurupukia mambo usiyoyajua....
Mleta mada mwenyewe kakubali kuwa alikosea ktk kuandika halafu wewe kwa upumbavu wako wadai alikusudia kutumia maneno machache.
Kuna kanuni za kutumia maneno machache 'key words' ktk ku-search information lakini si kwa kuandika maneno mengi (sentensi ile) vile.
By the way, acha ushamba kuona google search engine ni kitu kikuubwa hata uone kuwa kutumia hiyo Google kunahitaji taaluma kubwa, wakati hata mtoto wa darasa la 7 awezaitumia hiyo Google....Watu tunaelewa kutumia Web of science, Scopus, PubMed n.k. ambavyo yawezekana mpaka kufa kwako hutokujajua namna ya ku-search material ktk hizo databases
View attachment 2237171
🤪🤪🤪😜😜😜Unahisi ukitukana ndiyo utaeleweka?
Unajua kwamba hata mimi nina device ambayo naweza nikaandika matusi kama unayoandika hapa?
Acha mambo ya kishamba
Utoto mwingiii. We are not in a grammar class. Kama unanihitaji nikufundishe, tufanye hivyo. Naona unang'ang'ana. Mm nakufundisha mkuu. Niko vema Kwenye hiyo lugha. Na nalijuwa kwamba Kwenye hii platform wote ni wakubwa. Sikujuwa wengine ni watoto.Daah Ila wewe jamaa unapiga Pini balaa🙌😄😄😁😁
Kwani kosa langu Ni nini mkuu ?🤔Utoto mwingiii. We are not in a grammar class. Kama unanihitaji nikufundishe, tufanye hivyo. Naona unang'ang'ana. Mm nakufundisha mkuu. Niko vema Kwenye hiyo lugha. Na nalijuwa kwamba Kwenye hii platform wote ni wakubwa. Sikujuwa wengine ni watoto.
Sawa mkuu nisamehe Kama Kuna mahali nimekukwazaUtoto! Grow up.
Kwahiyo usipomwabudu mungu unakuwa maskiini?Hawa lazima wawe masikini maana kule hawana dini na wanamuabudu Rais wao as god... Kazi kwako
1. Literacy rate ya North korea kwa watu wenye miaka 15 ni asilimia 100, Hakuna mtu Mjinga asie jua kusoma na kuandika HukoKwa hiyo hizo picha ndiyo kudhihirisha maisha mazuri ya watu wa N.Korea[emoji2960].Hata Dar au Nairobi picha za usiku zinavutia sana tu
Chung Ju Yung aliiba ng'ombe uko kwao North Korea akamuuza na kukimbilia South Korea akafanya kazi kwa bidii, akaanzisha kampuni ya Hyundai. Hyundai sasa hivi ina thamani kuliko makampuni yote ya North Korea kwa pamoja. Angebaki uko angeendelea kuchunga ng'ombe1.wana magari ya Umma
2. Hawasimami foleni wala kusimama kwenye daladala
3. Huduma nyingi za kijamii bure, Elimu, Afya etc
Toka North Korea wawasamehe ambao walitoroka Nchi yao Maelfu wanarudi, kuna Video moja nikipata muda nitakuekea Jamaa Analia Katoroka North Kaja South Maisha magumu kila kitu alipie.
Na Pyongyang huwezi ifananisha na Mji wowote Afrika mashariki, Hawana Utajiri wa ulaya ila pia hawana Umasikini wa Africa.
No pollutionView attachment 2235745Umaskini wa kujitakia
So mtu mmoja anarepresent Taifa? South wana matatizo yao kama North, matatizo yanayoletwa na Ubepari na Income inequalities, kuna Mafukara wa Kutupwa huko south kitu ambacho huwezi kukikuta North.Chung Ju Yung aliiba ng'ombe uko kwao North Korea akamuuza na kukimbilia South Korea akafanya kazi kwa bidii, akaanzisha kampuni ya Hyundai. Hyundai sasa hivi ina thamani kuliko makampuni yote ya North Korea kwa pamoja. Angebaki uko angeendelea kuchunga ng'ombe
Hiyo picha ya kwanza ndio katikati ya mji. Sasa rudi kwenye picha ya kwanza niliyoweka hapo juu utaona hiyo hotel kubwa kabisa na maarufu kwao barabara karibu nayo haina magari.1.wana magari ya Umma
2. Hawasimami foleni wala kusimama kwenye daladala
3. Huduma nyingi za kijamii bure, Elimu, Afya etc
Toka North Korea wawasamehe ambao walitoroka Nchi yao Maelfu wanarudi, kuna Video moja nikipata muda nitakuekea Jamaa Analia Katoroka North Kaja South Maisha magumu kila kitu alipie.
Na Pyongyang huwezi ifananisha na Mji wowote Afrika mashariki, Hawana Utajiri wa ulaya ila pia hawana Umasikini wa Africa.