Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Ifike wakati Dunia nzima kwa Pamoja ikubali ku-denuclearize sio Korea tu aanze Marekani kuonyesha mfano, Russia Israel n.k. na baada ya hapo hakuna mtu kufanya tena hii kitu...Wanao piga marufuku ndio watengenezaji wakubwa
Huwezi kujifanya eti unaongelea World Peace wakati una nyezo ya ku-end the World...., Ni Unafiki....