Mimi nakuuliza kwasababu.Ha ha haaa...Yaani mie huyu huyu ninaekusaidia kufahamu usiyoyajua yaliyokwenye lugha ya kiingereza ndio niwe sijui kiingereza?! Ajabu hii.
We kila kitu wauliza utadhani umeibiwa smartphone! Au hujui ku-search info maana ktk ku-search lazima u-type kwa kiingereza.
Sio km sijui.
Nimeongeza kitu ktk quote yangu kasome tena.
Mimi nakuuliza elezea ugomvi wa sasa wa hayo mataifa ww unanielezea past grudges.
Nimekuuliza taja kitu ambacho hayo mataifa yamefanya kwasasa kuhatarisha usalama wa kiduku unaleta masuala ya past grudges.