We jamaa una kichwa kigumu Sanaa.Wewe wasema ila hakuna asiyejua Kiduku ameshafyatua vinu kitambo sana toka North Korea hadi magharibi mwa bahari ya pasific mara kibao tu, sasa hicho ndicho kinamsumbua USA na EU kumwona Jamaa habahatishi bali kajipanga haswa[emoji23]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Lete idadi ya wanajeshi wa russia ambao wamefariki hadi sasa leo ya 11, still they are struggling pembezoni mwa UkraineMwambieni Blinken (anayewadanganya ushindi vitani) hatutaki diplomasia, sisi malengo na nia zetu zipo pale palee, twataka ushindi kupitia mtutu sio maneno matupu kama alivyofanya Nyerere.
View attachment 2139572
Na umeamini?Tulisifiwa sana Russia na Putin sasa kwa mujibu Blinken leo asubuhi Ukrain inaelekea kushinda vita dhidi ya russia., North Korean ni jamii ya putini apuuzwe tu mpaka atakapojaribu kumgusa memba wa NATO
Ogopa vita ya kigaidi na brainwashing hii huwezi kujilinda inatumia muundo wa terrorists cell hakuna kiongozi, hujui nani rafiki nani adui yaani an enemy within vita vya sasa vinatumia propaganda and brainwashing the only defence ni education na uelewa unless otherwise mnajimaliza wenyeweKale kabomu alikopiga kamoja kalichounguza ghorofa kwa juu!?
Katumia bomu sio kombora.
Pia we fananisha 1999 na 2022 ilhali wenzako Wana advance kila Leo ktk technology ya Vita.
Kutokuwa nayo ndio kulimmaliza haya mavitu ni more of defense ukiyatumia utaua wengi na wewe watakumaliza in the end dunia as we know it will become historyIraq ilizongwa sana ilihali hakua na kitu...
Huyu jamaa anayarusha anavyotaka lakini wanamgwaya...
Acha ushamba wa kuamini propaganda za America [emoji631] na vibara wao eti waliiba pesa uongo mtupu... tatizo hao wamagharibi wanataka kila taifa liwalambe matako na huu upimbi ndo unaikwamisha africaEmbu Kaka tanueni fikra zenu.
North Korea toka Vita za mgawanyo walikua ni watu wa kupenda ubabe.
Wewe anaiba pesa mpk crypto currency ili atengeneze makombora ilhali nchi kiuchumi Ina viraka!?
Asa elezea N.Korea ina adui yupi mkubwa wa kutaka kujilinda nae!?
Anateketeza pesa nyingi ktk silaha ilhali wananchi hali si shwari.
Duh siku hizi crypto currency wamekua serikali ya USA!?Acha ushamba wa kuamini propaganda za America [emoji631] na vibara wao eti waliiba pesa uongo mtupu... tatizo hao wamagharibi wanataka kila taifa liwalambe matako na huu upimbi ndo unaikwamisha africa
Hii dunia bila kuwa na ICBM hautoheshimika na utaingiliwa mambo yako
Wote hao wanatumikana Us na vibaraka wakeDuh siku hizi crypto currency wamekua serikali ya USA!?
Waafrika mnajikwamisha wenyewe kwa akili zenu za kupenda uchu wa madaraka na UFISADI .
Mkibadilika mtaendelea.
Wote hao wanatumikana Us na vibaraka wake
kamfanya nani asiwe naamani yeye anafanya kama wanayofanya wenzake hajaminya amani ya mtuIla jamaa anafanya watu wasiwe na amani kabisa[emoji3][emoji3]
uchizi kumminya ila kumuachia amiliki nihalali yakeNdio hujakosea mkuu.
Ila kumuachia kichaa km Kim kumiliki hizi silaha ni ujinga.
Jamaa anaendekeza mabavu ilhali hali ya nchi yake kiuchumi ni mbovu.
We itizame South Korea wananchi wanavyoishi kwa bata.
kama anaweza anangojea nn?Msijidanganye kuwa USA hawezi kumpiga N.Korea ,anaweza Tena ndani ya wiki tu.
Ila USA hawezi kujiingiza ktk Vita sasa hv kwasababu ya uchumi.
Tatizo lako unaweka sana mahaba mbele we jamaa.kamfanya nani asiwe naamani yeye anafanya kama wanayofanya wenzake hajaminya amani ya mtu
Kiduku mtu sahihi wakuiongoza DPRK
Soma point yangu vizuri.uchizi kumminya ila kumuachia amiliki nihalali yake
kila taifa linayo haki yakujilinda
Umeisoma point yangu vema!?kama anaweza anangojea nn?
N.korea hawali bata sio sababu ya uchumi mbovu tatizo ujamaaNdio hujakosea mkuu.
Ila kumuachia kichaa km Kim kumiliki hizi silaha ni ujinga.
Jamaa anaendekeza mabavu ilhali hali ya nchi yake kiuchumi ni mbovu.
We itizame South Korea wananchi wanavyoishi kwa bata.
Unamaliza tu kuteketeza zako adui yako ambaye bado anakufumuaIfike wakati Dunia nzima kwa Pamoja ikubali ku-denuclearize sio Korea tu aanze Marekani kuonyesha mfano, Russia Israel n.k. na baada ya hapo hakuna mtu kufanya tena hii kitu...
Huwezi kujifanya eti unaongelea World Peace wakati una nyezo ya ku-end the World...., Ni Unafiki....
Huo ujamaa matokeo yake nini!?N.korea hawali bata sio sababu ya uchumi mbovu tatizo ujamaa