North Korea leo imerusha kombora la 9 la balistiki toka kuanza mwaka huu

We jamaa una kichwa kigumu Sanaa.
Point yangu mm ni Kiduku KUENDEKEZA silaha ilhali nchi inapokea misaada ya chakula WFP.
Muache afanye test anavyofanya hizo test USA kafanya miaka 60 nyuma.
Kama mbabe kweli aende akapige nchi yeyote Kati ya Japan,S.korea au USA.
Halafu uone km N.Korea itasalia.
 
Mwambieni Blinken (anayewadanganya ushindi vitani) hatutaki diplomasia, sisi malengo na nia zetu zipo pale palee, twataka ushindi kupitia mtutu sio maneno matupu kama alivyofanya Nyerere.

View attachment 2139572
Lete idadi ya wanajeshi wa russia ambao wamefariki hadi sasa leo ya 11, still they are struggling pembezoni mwa Ukraine
 
Tulisifiwa sana Russia na Putin sasa kwa mujibu Blinken leo asubuhi Ukrain inaelekea kushinda vita dhidi ya russia., North Korean ni jamii ya putini apuuzwe tu mpaka atakapojaribu kumgusa memba wa NATO
Na umeamini?
 
Iraq ilizongwa sana ilihali hakua na kitu...

Huyu jamaa anayarusha anavyotaka lakini wanamgwaya...
 
Kale kabomu alikopiga kamoja kalichounguza ghorofa kwa juu!?
Katumia bomu sio kombora.
Pia we fananisha 1999 na 2022 ilhali wenzako Wana advance kila Leo ktk technology ya Vita.
Ogopa vita ya kigaidi na brainwashing hii huwezi kujilinda inatumia muundo wa terrorists cell hakuna kiongozi, hujui nani rafiki nani adui yaani an enemy within vita vya sasa vinatumia propaganda and brainwashing the only defence ni education na uelewa unless otherwise mnajimaliza wenyewe
 
Iraq ilizongwa sana ilihali hakua na kitu...

Huyu jamaa anayarusha anavyotaka lakini wanamgwaya...
Kutokuwa nayo ndio kulimmaliza haya mavitu ni more of defense ukiyatumia utaua wengi na wewe watakumaliza in the end dunia as we know it will become history
 
Acha ushamba wa kuamini propaganda za America [emoji631] na vibara wao eti waliiba pesa uongo mtupu... tatizo hao wamagharibi wanataka kila taifa liwalambe matako na huu upimbi ndo unaikwamisha africa

Hii dunia bila kuwa na ICBM hautoheshimika na utaingiliwa mambo yako
 
Baada ya Japan, South Korea na Marekani kulalamika jana nzima, leo sasa ndio North Korea wamezungumza kuwa jana walifanya jaribio muhimu la muendelezo wa kutengeneza mifumo ya setilaiti ya kijeshi ya ujasusi.

Kupitia jaribio hilo, taasisi yake ya uchunguzi wa anga la mbali ya NADA imethibitisha uimara wa mifumo ya kutuma na kupokea data, mifumo ya control command na mifumo mingine ya cotrol ya setilaiti hiyo.

Profesa Yang Moon-jin wa University of North Korean Studies mjini Seoul (South Korea),amesema kuwa kwa kuwa setilaiti na makombora ya balistiki ya nyuklia yenye uwezo kuvuka mabara (ICBMs) vinafanana mno nje ndani, kurusha/kutuma setilaiti hiyo kutairejesha peninsula ya Korea kwenye kilele cha mvutano kama ule tuliouona mwaka 2017.

====

"Through the test, the NADA confirmed the reliability of data transmission and [the] reception system of the satellite, its control command system and various ground-based control systems," KCNA said.

"Since satellites and ICBMs are the same inside and out, a satellite launch will take the Korean peninsula back to the peak of tensions it saw in 2017," Yang Moo-jin, a professor at the University of North Korean Studies in Seoul, said.


 
Duh siku hizi crypto currency wamekua serikali ya USA!?
Waafrika mnajikwamisha wenyewe kwa akili zenu za kupenda uchu wa madaraka na UFISADI .
Mkibadilika mtaendelea.
Kingine jaribu kumtizama Kim na North Korea utaacha kuongea unachoongea sasa hivi.
 
Duh siku hizi crypto currency wamekua serikali ya USA!?
Waafrika mnajikwamisha wenyewe kwa akili zenu za kupenda uchu wa madaraka na UFISADI .
Mkibadilika mtaendelea.
Wote hao wanatumikana Us na vibaraka wake
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hii mindset wabongo itawaua.
Tokeni huko badilikeni msipende kusingizia kila kitu ubaraka wa USA.

Wote hao wanatumikana Us na vibaraka wake
 
Ila jamaa anafanya watu wasiwe na amani kabisa[emoji3][emoji3]
kamfanya nani asiwe naamani yeye anafanya kama wanayofanya wenzake hajaminya amani ya mtu
Kiduku mtu sahihi wakuiongoza DPRK
 
Ndio hujakosea mkuu.

Ila kumuachia kichaa km Kim kumiliki hizi silaha ni ujinga.

Jamaa anaendekeza mabavu ilhali hali ya nchi yake kiuchumi ni mbovu.

We itizame South Korea wananchi wanavyoishi kwa bata.
uchizi kumminya ila kumuachia amiliki nihalali yake
kila taifa linayo haki yakujilinda
 
Msijidanganye kuwa USA hawezi kumpiga N.Korea ,anaweza Tena ndani ya wiki tu.
Ila USA hawezi kujiingiza ktk Vita sasa hv kwasababu ya uchumi.
kama anaweza anangojea nn?
 
kamfanya nani asiwe naamani yeye anafanya kama wanayofanya wenzake hajaminya amani ya mtu
Kiduku mtu sahihi wakuiongoza DPRK
Tatizo lako unaweka sana mahaba mbele we jamaa.
Wananchi North Korea wanakimbilia South kuepuka ugumu wa maisha we unasema Kim anastahili kuongoza nchi!?
 
Ndio hujakosea mkuu.

Ila kumuachia kichaa km Kim kumiliki hizi silaha ni ujinga.

Jamaa anaendekeza mabavu ilhali hali ya nchi yake kiuchumi ni mbovu.

We itizame South Korea wananchi wanavyoishi kwa bata.
N.korea hawali bata sio sababu ya uchumi mbovu tatizo ujamaa
 
Unamaliza tu kuteketeza zako adui yako ambaye bado anakufumua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…