Sina uzoefu na estonia ilanchi za hivyo hamnaga kitu, wewe shughulika na nchi za ulaya magharibi tuKuna mshkaj wangu yuko Estonia apo (Mzungu alishakuja bongo akakaa kwangu) ,mishe zake anafanya btn Norway na Estonia, hua ananishawish nije kuchek mishe uko .... Vp unakuelewa kulivyo uko chief? Watu wa Estonia hawana issue ya ubaguz? Economy ikoje?
Huo ndio ukweli wenyewe.Tapeli kazini
Kuna mzee amepoteza muda mwingi ulaya, anarudi anapanga kukimbilia kujificha kwao shinyanga ndani ndani huko
Ubaya wa nchi hizo mke na watoto hawataki kurudi nae kwahiyo anarudi kipweke zaidi
Mtawakamata wasiojitambua
Nilianza na post ya kutoa hizo ramani, Ila matusi niliyotukanwa nathubutu kusema sitakuja kurudia tena
Uoga huwa upo mwanzoni tu, baada ya wiki unakuwa ndo kama ulifanya assembling.Vile sipatani na heights, hiyo picha ya juu ya crane imetosha kusababisha nitetemeke!
Hapo navutia kasi baadhi ya vichwa vitakavyoungia pm[emoji12][emoji12][emoji12]Umeamua tu ubaki kuwatamanisha sio.....
Mwenyewe hapa najipanga nifate koneksheni pmHapo navutia kasi baadhi ya vichwa vitakavyoungia pm[emoji12][emoji12][emoji12]
Mtafute Nyani NgabuMwenyewe hapa najipanga nifate koneksheni pm
Kinachonisikitisha ni hiyo familia yake kugomea huko, anachofanya eti kwa umri wake ndio anatongoza mitandaoni wanawake walio bongo akamalizie nao uzee kijijini na inavyoonyesha dingi hajatengeneza hela yoyote hukoHuo ndio ukweli wenyewe.
Ukitaka kufaidi, ulaya ni sehemu ya kuchuma ukiwa na nguvu halafu uwekeze nyumbani.
Nguvu zikiisha unarudi home kufaidi ulichokusanya.
Vijana wengi huwa wanapotea njia na kuoa wazungu...mzungu ni wa kustarehe naye, ila kama ni mke basi oa nyumbani ili nguvu zikiisha mnarudi home wote.
Huu uongo unakusaidia nini?
Acha kuogopa issue za ubaguzi nenda kapambane na maisha yako tengeneza pesa ukirudi Tanzania na wewe uje kuwabagua wahindi..huku kwetu wahindi wanatubagua na bado tupo naoKuna mshkaj wangu yuko Estonia apo (Mzungu alishakuja bongo akakaa kwangu) ,mishe zake anafanya btn Norway na Estonia, hua ananishawish nije kuchek mishe uko .... Vp unakuelewa kulivyo uko chief? Watu wa Estonia hawana issue ya ubaguz? Economy ikoje?
Mkuu Tupe "mwongozo" tunafikaje?Inapendeza, ila jitahidi usiishie kuishi kwa mikate...