Norway kazi za risk zina pesa nyingi, tusiogope risk katika maisha

Norway kazi za risk zina pesa nyingi, tusiogope risk katika maisha

Nimeona watu wengi sana wakiogopa kazi ambazo ni risk. Lakini wanashindwa kuelewa kuwa kazi ambazo zina risk kubwa ndio zenye pesa nyingi.

Simaanishi huku Norway kazi ambazo hazina risk hazina pesa, hapana. Kwanza kazi zenye pesa ni zile za wale skilled ambazo kwa mhamiaji huwezi kupata kirahisi au huwezi kupata kabisa.

Hapa ninamaanisha kazi zile za unskilled ambazo ndio hizo kwa ajili yetu sisi wahamiaji. Na ndio hizo ambazo wenyeji hawazipendi hata kidogo, maana
Hadhira kubwa ya waliomo JF wako Tz. Sasa hizi hadithi za Norway zinawasaidia aje?
 
Kuna mshkaj wangu yuko Estonia apo (Mzungu alishakuja bongo akakaa kwangu) ,mishe zake anafanya btn Norway na Estonia, hua ananishawish nije kuchek mishe uko .... Vp unakuelewa kulivyo uko chief? Watu wa Estonia hawana issue ya ubaguz? Economy ikoje?
Humuamini jamaa yako?
 
Kazi unazofanya na hela unayolipwa haviendani, hapa tz kuna watu wanapiga soft touch tu na wanaingiza mpunga wa kutosha. Kwa upande wangu siamini katika kufanya hizo kazi, japo kwa sasa sipo tz ila nikimaliza kilichonileta huku narudi zangu home. Kitu pekee nitachomiss huku ni miundombinu na huduma za jamii.
 
Akitoa mchongo anaitwa tapeli! Duh nchi ngumu sana hii.
Duh..

Halafu wengi wao ni miporipori ya mkoani, au yametoka mikoani, sio watoto waliokulia Dar ambao kwao jirani na marafiki kibao wamesafiri, ni kitu cha kawaida

Lazima waku reference majina vijiji vyao,
Aisee... Safari kweli ni elimu tosha, hata South wangefungua macho...
 
Duh..
Halafu wengi wao ni miporipori ya mkoani, au yametoka mikoani, sio watoto waliokulia Dar ambao kwao jirani na marafiki kibao wamesafiri, ni kitu cha kawaida..
Lazima waku reference majina vijiji vyao,
Aisee... Safari kweli ni elimu tosha, hata South wangefungua macho...
Ujinga mwingine wa baadhi ya members ni kuamini kua Tanzania nzima, ni dar pekee yenye watu wanaojielewa. Wakati wanaume wa dar wenyewe hata watoto wa mtaani wakisara hakuna anayekatiza mtaa.
 
Kazi unazofanya na hela unayolipwa haviendani, hapa tz kuna watu wanapiga soft touch tu na wanaingiza mpunga wa kutosha. Kwa upande wangu siamini katika kufanya hizo kazi, japo kwa sasa sipo tz ila nikimaliza kilichonileta huku narudi zangu home. Kitu pekee nitachomiss huku ni miundombinu na huduma za jamii.
Mkuu tufumbuwe macho ni kazi gani hizo wabongo wanapiga soft touch wanapata mpunga wakutosha? Maana mleta mada anasema analipwa Tshs.60,000 /hour anfanya kwa saa 18 hivyo kwa siku ni 1mil+ , je bongo hapa ni zipi hizo za kuingiza kiasi hicho within 24hrs?
 
Duh..
Halafu wengi wao ni miporipori ya mkoani, au yametoka mikoani, sio watoto waliokulia Dar ambao kwao jirani na marafiki kibao wamesafiri, ni kitu cha kawaida..
Lazima waku reference majina vijiji vyao,
Aisee... Safari kweli ni elimu tosha, hata South wangefungua macho...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
 
Mkuu tufumbuwe macho ni kazi gani hizo wabongo wanapiga soft touch wanapata mpunga wakutosha? Maana mleta mada anasema analipwa Tshs.60,000 /hour anfanya kwa saa 18 hivyo kwa siku ni 1mil+ , je bongo hapa ni zipi hizo za kuingiza kiasi hicho within 24hrs?
Kwa maisha ya kule siyo hela nyingi mkuu, kibongo bongo ndio nyingi, na kwa hiyo kazi aliyosema na masaa hayo, anaumia mnoo, but maisha ni mapambano. Kwa upande wangu nipo kwenye ajira and natumia professional yangu kwenye ujasiriamali pia (mambo ya ardhi).
 
Ujinga mwingine wa baadhi ya members ni kuamini kua Tanzania nzima, ni dar pekee yenye watu wanaojielewa. Wakati wanaume wa dar wenyewe hata watoto wa mtaani wakisara hakuna anayekatiza mtaa.
Habari ndio hiyo..
Usije Mjini kama huna.....
Dar ni nchi nyingine sio Mkoa
 
Nilianza na post ya kutoa hizo ramani, Ila matusi niliyotukanwa nathubutu kusema sitakuja kurudia tena
Safi Sana mkuu wabongo wamejaa negativity nyingi piga kazi acha wapige porojo.

Ukija na habari za msiba wanakupa pole na maneno kibao ila ukija na habari za unatengeneza hela na umenunua Gari zuri watakwambia wewe Ni tapeli na unajionesha.

Nakwambia usimsaidie mtu, toa taarifa tutajijua wenyewe.

Ubaya Ubaya.
 
Nimekuwa nikifuatilia stori zako za Norway, inaonekana unapambana sana, kupambana huko kuende sambamba na kutunza pesa + kuwekeza bongo (uwekezaji wa kisasa kulingana na experience yako huko).
Unampangia mwanaume mwenzio
 
Kuwapa watu nia ya kuchangamka na kutafuta uwezekano wa fursa nje ya Nchi ni jambo zuri.Inabidi utoaji huo wa habari za hizo fursa uendane na ukweli.Norway kuna sheria za kazi. Huwezi kufanya kazi mfululizo masaa 18.Unaweza kufanya kazi pass mbili tofauti lakini ni lazima kwa mujibu wa sheria za Norway upumzike masaa 11 kati ya pass moja na nyingine.
Hiyo mshahara wa 60000 za kitanzania ni kama 220 Norska kroner kwa saa.Halipi kodi?
Ukweli siku zote humuweka mtu huru.
 
Kwa maisha ya kule siyo hela nyingi mkuu, kibongo bongo ndio nyingi, na kwa hiyo kazi aliyosema na masaa hayo, anaumia mnoo, but maisha ni mapambano. Kwa upande wangu nipo kwenye ajira and natumia professional yangu kwenye ujasiriamali pia (mambo ya ardhi).
Mkuu nafikri lengo ni kusaka pesa huko kuinvest huku
 
Per Diem watu wanataka uwape "mchongo" namna ya kufika huko Norway.

Acha porojo za sijui kazi zinalipa, sijui nini, wewe wape vijana wenzako "ramani". Acha roho mbaya man!
Zamani tulichukuliwa utumwani kwa lazima siku hizi tunagombea kwenda utumwani.
Ulaya Ingekuwa ize kama kwenda Mwanza Hakuna kijana angebakia afrika
 
Tapeli kazini

Kuna mzee amepoteza muda mwingi ulaya, anarudi anapanga kukimbilia kujificha kwao shinyanga ndani ndani huko

Ubaya wa nchi hizo mke na watoto hawataki kurudi nae kwahiyo anarudi kipweke zaidi

Mtawakamata wasiojitambua
Akili kichwani
 
Back
Top Bottom