Norway kazi za risk zina pesa nyingi, tusiogope risk katika maisha

Norway kazi za risk zina pesa nyingi, tusiogope risk katika maisha

Kuwapa watu nia ya kuchangamka na kutafuta uwezekano wa fursa nje ya Nchi ni jambo zuri.Inabidi utoaji huo wa habari za hizo fursa uendane na ukweli.Norway kuna sheria za kazi. Huwezi kufanya kazi mfululizo masaa 18.Unaweza kufanya kazi pass mbili tofauti lakini ni lazima kwa mujibu wa sheria za Norway upumzike masaa 11 kati ya pass moja na nyingine.
Hiyo mshahara wa 60000 za kitanzania ni kama 220 Norska kroner kwa saa.Halipi kodi?
Ukweli siku zote humuweka mtu huru.
Waache wabongo wamuamini. Mnamkumbuka Parabora alivyoleta story zake za kwenda club usiku huo na kubambia wazungu akatokea Kiranga akamuuliza club gani imefunguliwa wakati Switzerland iko lockdown. Jamaa alikuwa hajui kama lockdown imeanza wiki hiyo. Kuna siku mtu atajichanganya.

Kitendo cha kusema alifanya kazi masaa 18 ni hatari ambayo hakuna mwajiri professional kama wa bandarini anaweza kufanya huo upuuzi, hasa hiyo faini yake hawezi kuivumilia. Kuna mbeba box mmoja aliwahi sema Ulaya huwezi ruhusiwa kuunganisha shift mbili za kazi, kama umeajiriwa masaa 8 ya kisheria huwezi sema mimi ni gangwe nitaingia na shift ya usiku.
Alafu hizo picha zimeziba rangi ya ngozi nzima, hata mikono haionekani, yani hujui huyo ni Mchina au Mwarabu. Mimi ni Tomaso hapa
 
Kuwapa watu nia ya kuchangamka na kutafuta uwezekano wa fursa nje ya Nchi ni jambo zuri.Inabidi utoaji huo wa habari za hizo fursa uendane na ukweli.Norway kuna sheria za kazi. Huwezi kufanya kazi mfululizo masaa 18.Unaweza kufanya kazi pass mbili tofauti lakini ni lazima kwa mujibu wa sheria za Norway upumzike masaa 11 kati ya pass moja na nyingine.
Hiyo mshahara wa 60000 za kitanzania ni kama 220 Norska kroner kwa saa.Halipi kodi?
Ukweli siku zote humuweka mtu huru.
Mkuu we pita tu kama unasoma gazeti hawa jamaa tumeshawazoea uzuri ni kwamba stori zao ni zilezile tofauti ni ID na location.
 
Nimeona watu wengi sana wakiogopa kazi ambazo ni risk. Lakini wanashindwa kuelewa kuwa kazi ambazo zina risk kubwa ndio zenye pesa nyingi.

Simaanishi huku Norway kazi ambazo hazina risk hazina pesa, hapana. Kwanza kazi zenye pesa ni zile za wale skilled ambazo kwa mhamiaji huwezi kupata kirahisi au huwezi kupata kabisa.

Hapa ninamaanisha kazi zile za unskilled ambazo ndio hizo kwa ajili yetu sisi wahamiaji. Na ndio hizo ambazo wenyeji hawazipendi hata kidogo, maana kuna sehemu wataenda kufanya kazi kwa urahisi na kupata pesa nyingi tu.

Huku kuna kampuni ambazo wanachukua tender ya kuwafanyia makampuni mengine kazi ikiwemo za service na ku-handle mizigo yao mikubwa bandarini. Hapo kwenye service pia kuna mambo ya usafi wa machines.

Sasa kwenye hizi kazi watu kama sisi ndio huwa tunaingia na tunafanya kweli kiasi kwamba hata siku nyingine ikitokea wana kazi hawaachi kukuita.

Ilitokea kuna kazi ya kupanda juu ya crane ni risk Sana Ila wala sikusita nikapanda fasta tu na overall yangu sina wasiwasi kabisa ikiwa wao wanaona wasiwasi sana (nimeweka picha)

Kikawaida kazi nazofanya za huku bandarini huwa ninachukua 32000 kwa saa moja, Ila hii nilichukua 60000 kwa saa na kwa siku moja nilikuwa nafanya kwa masaa 18.

Kwa hesabu ya kawaida kwa siku inakuwa ni 60000×18 = 1,080,000, kazi kama hii ukifanya kwa wiki bila kuchoka una uhakika wa si chini ya milion 7. Ila haiwezi kufika wiki sana sana ni siku 3 au 4.

Hizi zingine ndio uhakika wa kila siku.

Kuna siku baada ya kumaliza kazi flani nikapata nyingine usiku ya kufanya usafi kwenye meli kubwa iliyokuwa imekuja.

Kwa kifupi ukiwa sehemu yoyote ugenini usibague kazi kama wafanyavyo wenyeji.

Mfano unatoka dar kwenda kutafuta maisha iringa, ukifika iringa jiepushe sana kubagua kazi, kazi yoyote halali na ambayo haitwezi utu wako ifanye.

Hivyo natoa hamasa na moyo kwa vijana wenzangu kutochagua kazi hata kama ina risk kubwa. Maisha Ni mapambano, siku nikirudi kila mtu atahisi huko nilipo mimi ni meneja kumbe.

Niliamua kuchagua haya maisha na sio Slsiri na-enjoy sana.

Tufanye kweli tuache kuwa watu wa lawama.

View attachment 1810479View attachment 1810480View attachment 1810482View attachment 1810483View attachment 1810485View attachment 1810486View attachment 1810487View attachment 1810488
sawa niko south kwa sasa nifanye nami nije huko?? Au mahali pengine km hapo?? Nipe mawili matatu!!
 
Tapeli kazini

Kuna mzee amepoteza muda mwingi ulaya, anarudi anapanga kukimbilia kujificha kwao shinyanga ndani ndani huko

Ubaya wa nchi hizo mke na watoto hawataki kurudi nae kwahiyo anarudi kipweke zaidi

Mtawakamata wasiojitambua
km hawakutaki hata bongo wanaweza kukukataa tu!! Ni sawa wacha akajifiche shega tu!! Hata akionekana wazi hutamsaidia kitu.zaidi unatamani akupe ramani.
Wenye akili zao huyo ni lulu kwao.

Ukiogopa hiyo michamba wima hufiki popote.
Tunajua hata ukifanya vibaya mtihani wa drs la 7 tu wanacheka hao!! Heee!! ukifaulu yanajificha. Kuyaweza haya ukirudi na mpunga jifanye maskini uone watakavyo kunanga. Wapoteze kifikra baadaye ukiwa umevaa viraka vyako vya ulaya pandisha mgorofa wa nguvu kudumu faster.

Maliza pangisha rudi huko huko!! Ili kupunguza nzi.
Siku ukirudi ni viwanda na ma go down tu. Wanao nao peleka.
 
Huyu jamaa ni bwege fulani tu anafowardi humu stori za kusimuliwa, rangi yake halisi ni Countrywide.
kiroho cha kutu huja kiacha tu??? Km amesimuliwa unaweza pita au vinginevyo piga kimya...

Hiyo roho ya bibi yako mzaa baba hujaiacha tu mkuu??
Haina maana kumuita mtu bwege.bwege la kwanza ni wewe....
 
Mkuu tufumbuwe macho ni kazi gani hizo wabongo wanapiga soft touch wanapata mpunga wakutosha? Maana mleta mada anasema analipwa Tshs.60,000 /hour anfanya kwa saa 18 hivyo kwa siku ni 1mil+ , je bongo hapa ni zipi hizo za kuingiza kiasi hicho within 24hrs?
Huwajui wabongo kwa sifa 😅 hio kazi ya Mil.1 kwa siku unaipatia wapi? Labda uwe umeajiriwa kwenye mradi wa IPTL walikokuwa wanapiga 150M kwa siku! Nje na hapo uwe kwenye NGO za kimataifa na fisadi katika mradi zaidi ya hapo uwe na biashara kubwa mjini ambayo inaingiza faida ya million 5 plus na wewe ni boss!
 
kiroho cha kutu huja kiacha tu??? Km amesimuliwa unaweza pita au vinginevyo piga kimya...

Hiyo roho ya bibi yako mzaa baba hujaiacha tu mkuu??
Haina maana kumuita mtu bwege.bwege la kwanza ni wewe....

Unaniasa nisiite wenzio mabwege na bado wewe unaniita hivyo, unataka mbakie mabwege wachache…. cha muhimu ni kukupuuza tu.
 
Kazi unazofanya na hela unayolipwa haviendani, hapa tz kuna watu wanapiga soft touch tu na wanaingiza mpunga wa kutosha. Kwa upande wangu siamini katika kufanya hizo kazi, japo kwa sasa sipo tz ila nikimaliza kilichonileta huku narudi zangu home. Kitu pekee nitachomiss huku ni miundombinu na huduma za jamii.
Usisingizie utanzania.Baridi imekukataa wewe!! Hata ukirudi Dar. Uwafanyie nini? Wasomi wapo tele...na Hapo siyo kwenu!

Wewe unaitwa kichawi na shangazi yako ili akumalize kichawi tu! Tunawajua nyie watu...

Kwenu kuree kamachumu???. Sasa tukuulize utarudi kama chumu kufanya nini na Elimu yako hiyo ya Medical Data??
Utakufa na stress za kuchekwa km Muhongo alivo chekwa/kusemwa na Mbunge drs la saba yuko humu u tube.na msemaji ilikuwa amejaa chuki tu za wazi... Muhongo siyo level yake hata kiumri tu.lkn alimnanga ajili ya chuki.km haitoshi..

Jiwe likampa stress za kufa mtu ajili ya chuki tu. Acha ujinga Kaa na watu mnao fanana au wanao kuzidi kidogo.

Ukirudi bongo na umesoma umekaa ulaya heee!! Jiandae kufa kibudu.
Mbaya zaidi unamuoa drs la saba failure utakufa tu mapema.
Diaspora Hawarudiga kuishi hiyo ndo sheria yetu diaspora.

Kukaa na wachamba wima hopeless inahitaji moyo wa kijambazi mno.ni sumu tosha wale!!
Ukiweza uwe kigagula hasa.wasomi wa Nigeria walirudi ila ni vigagura gusa uone...

Umeshakuwa mzungu mweusi kaa huko huko.bongo unazuka kwa siri.km kaka kuona au

umerudi saaana ni Bongo.Arusha baaaas.

Lkn wilayani kwenu???? Sijui kijijini mweeee!!! Watakuzika mzima ajili ya chuki tu.make utakuwa spoted km mchawi. Haihitaji hirizi hii kuwajua wa hivi...

Wafute kabisa hao kwenye memory zako! Km kweli uko ulaya.

Wewe ni level na jamii nyingine kabisaaaa ishi ki hivyo..kumbuka ukirudi "mchawi ndugu" atakumaliza tena mnacheka hivi.ndo ilivo hata kwa Bible yusufu aliuzwa na ndg.

Sasa jichanganye tu sijui narudi kwetu Bwai!! uchanganyikiwe mpaka ufe
Nashangaa sana kwa nini muhongo hajafa lkn pia sidhani km bado akili iko sawa....

Kambona aliporudi tu kafa na ndg zake walijichanganya humu na vielimu vyao wakapotea mazima.unawasikia?? Km wapo! Ni frustrated pyuuu!!!

Nyerere aliponea chupuchupu mwanzoni lkn pia alikufia kwao tu kiutani..si aliondoka afya tele amestaaf anatembea yule mzee??...

Nkurunzinza Maweee!!hata pension hakuionja...

Angalia walio kimbia kwao km Kaunda amekufa juzi tu amejaa umri.
Mengistu Haile ni mzee hatari lkn yupo.Mfadhili wake kafia kwao.
Nina mifano mingi tu!
Nkapa sitaki kusema....
Mwinyi ntonto wa njini yupo...
Kikwete ntonto la manzese gusa unate...Jiwe huyuuuu

Miafrica ilivyo??? We kajichanganye tu na kiingereza chako cha hovyo hicho utalamba dongo faster..........

Kiongozi msomi ukiacha au kustaafu kaishi mbali hukooooo...umalizie umri wako salama....
 
Huwajui wabongo kwa sifa 😅 hio kazi ya Mil.1 kwa siku unaipatia wapi? Labda uwe umeajiriwa kwenye mradi wa IPTL walikokuwa wanapiga 150M kwa siku! Nje na hapo uwe kwenye NGO za kimataifa na fisadi katika mradi zaidi ya hapo uwe na biashara kubwa mjini ambayo inaingiza faida ya million 5 plus na wewe ni boss!
Na hiyo ndio namna pekee ... hahahha
 
Kuwapa watu nia ya kuchangamka na kutafuta uwezekano wa fursa nje ya Nchi ni jambo zuri.Inabidi utoaji huo wa habari za hizo fursa uendane na ukweli.Norway kuna sheria za kazi. Huwezi kufanya kazi mfululizo masaa 18.Unaweza kufanya kazi pass mbili tofauti lakini ni lazima kwa mujibu wa sheria za Norway upumzike masaa 11 kati ya pass moja na nyingine.
Hiyo mshahara wa 60000 za kitanzania ni kama 220 Norska kroner kwa saa.Halipi kodi?
Ukweli siku zote humuweka mtu huru.
Wewe per day...unaingiza shi ngapi?
ngapi?
 
Back
Top Bottom