Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.

Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
 
IMG_3949.JPG

POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda

Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
 
Mi kinacho nishangaza ni pale CHADEMA wanapotegemea watz ndio walinde kura zisiibiwe!kweli?hawa hawa waoga hivi???hapa sio Kenya !!labda Kigogo na Robert Amstadarm waandae kikosi kazi cha kijeshi cha kulinda kura zisiibiwe nchini!!!la sivyo ni utopolo fc kutegemea raia walinde kura!!!
 
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM ITASHINDA
Kwa sababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Hii kanda ya ziwa unayoongelea inahusisha waliopokonywa pesa zao za rambirambi ya tetemeko na wale wa Geita waliochomewa nyavu zao? Maana hao ndio waliongoza kuikataa CCM hivi majuzi
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma .

Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi , nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi , hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake , wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM , vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili , sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda , biashara kubwa na ndogo ama ajira , Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa , Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru , Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake , hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura baaasi .
IMG-20201011-WA0023.jpg
 
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM ITASHINDA
Kwa sababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Hii ndio ile mipango ya Jamana Printers ?
 
Endeleeni kujifariji.ila Lissu baada ya uchaguzi mumtaftie nafasi pale manzese achome chapati za maji jioni.
 
Iangushwe na na ni,Lissu huyu anayetaka kuigawanya Tanzania kwenye majimbo kwa maslahi ya mabeberu na anayetaka kuweka madini yetu poni,te,te,te,te,te,te,...........................
 
Back
Top Bottom