Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
bogus maana yake nini ? tuanzie hapo kwanzaHivi chadema ndio kuna watu bogus namna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bogus maana yake nini ? tuanzie hapo kwanzaHivi chadema ndio kuna watu bogus namna hii?
Lissu ni mwanasheria asingekosa kazi lakini ndiye Rais mpya ajae wa JMTEndeleeni kujifariji.ila Lissu baada ya uchaguzi mumtaftie nafasi pale manzese achome chapati za maji jioni.
Lissu ni mwanasheria asingekosa kazi lakini ndiye Rais mpya ajae wa JMT
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda
CCM ITASHINDA
Kwa sababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;
Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;
Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Hatuna cha kukusaidia zaidi ya kukuombea , hivi ni mtanzania yupi anaweza kumpigia kura Magufuli , na kwa sababu ipi ?Kama lengo ni kuweka pressure kwa ccm, basi sawa. Ila kama kweli mnamaanisha basi mna matatizo ya akili, kwa macho ya kawaida tu upinzani hauwezi kushinda huu uchaguzi.
Mimi ningeomba baada ya uchaguzi wasiendelee na majukumu mengine zaidi ya kujiandaa kwa ajili ya 2025
Huu utafiti wako uliufanyia wapi? na nani alikuwa supervisor wako?View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda
CCM ITASHINDA
Kwa sababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;
Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;
Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Mbona binge lilishavunjwa mkuu kitambo na ndugai yuko home.Nothing lasts longer?! Eti na wewe ni mbunge!
Acha tuweke kituo....tarehe 28 tule ubwabwaCCM ikishinda mm nqkunywa sumu
Labda rais wa UbelgijiLissu ni mwanasheria asingekosa kazi lakini ndiye Rais mpya ajae wa JMT
Kwani kila uchaguzi mnasemaga mmeshindwa kwa kura?? Si mnaliaga bao la mkono kila uchaguzi.......safari hiii mmejiandaaje maana tume bado ni ileile....kila kitu bado kipo constant kama zilivyokua chaguzi zilizopita.................sema tu naona mnatafuta sababu mapema za kujitetea baada ya kushindwaHatuna cha kukusaidia zaidi ya kukuombea , hivi ni mtanzania yupi anaweza kumpigia kura Magufuli , na kwa sababu ipi ?
Mihadarati gani umeitumia tunaomba na sisi wengine tupatie namba ya aliyekuuziaUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma .
Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi , nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi , hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake , wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM , vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili , sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda , biashara kubwa na ndogo ama ajira , Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.
Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa , Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru , Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake , hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura baaasi .
Yatakuwa majizi basi, maana hata mshahara wa Oktoba yamelipwa.M
Mbona binge lilishavunjwa mkuu kitambo na ndugai yuko home.
Mkuu utakufa bure.CCM ikishinda mm nakunywa sumu
Natania mkuu. Chachandu ya JF tu hii.Mkuu utakufa bure.
HIVI JAMAA YENU ALISHAMALIZA KUTUMIKIA ILE ADHABU KWA AJILI YA KUSEMA UONGO??Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.
Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.
Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Mkuu sikiliza.Hatuna cha kukusaidia zaidi ya kukuombea , hivi ni mtanzania yupi anaweza kumpigia kura Magufuli , na kwa sababu ipi ?
HIVI JAMAA YENU ALISHAMALIZA KUTUMIKIA ILE ADHABU KWA AJILI YA KUSEMA UONGO??Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.
Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.
Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.