Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

Binafsi nataka amalizie kuijenga nchi kwa mibarabara na mijengo ya hospitali na ma stand na ma airport na ma flyovers na ma ring roads....na madege

Viva Magu 2020 to 2030
Hatuna cha kukusaidia zaidi ya kukuombea , hivi ni mtanzania yupi anaweza kumpigia kura Magufuli , na kwa sababu ipi ?
 
CCM haina haja ya kuona aibu , kushindwa si jambo geni , nchini Kenya KANU ilishang'olewa na kutokomea kusikofahamika na wala hakuna aliyelaumiwa
 
Mi kinacho nishangaza ni pale CHADEMA wanapotegemea watz ndio walinde kura zisiibiwe!kweli?hawa hawa waoga hivi???hapa sio Kenya !!labda Kigogo na Robert Amstadarm waandae kikosi kazi cha kijeshi cha kulinda kura zisiibiwe nchini!!!la sivyo ni utopolo fc kutegemea raia walinde kura!!!
Mwizi wa kura anatumia majeshi haya haya yanayolipwa kwa kodi za wananchi wote?Hivi,wizi wa kura ni tendo halali hapa nchini?Kwa nini Watanzania wakubali kura kuibwa na ukawaita ni waoga wasioweza kulinda Haki yao ya kupata viongozi?Unaposema ni waoga unarejea misingi ipi?Wakikataa kuibiwa kuna mtu atawalazimisha kukubali wizi?
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.
Huyu mtu hatakiwi kabisa.
Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
 

Attachments

  • 01908FD4-668D-440F-8229-A79780929446.jpeg
    01908FD4-668D-440F-8229-A79780929446.jpeg
    21.1 KB · Views: 1
Kumbukeni kuangushea chama si urais tu, kunaa ubunge pia.

Lissu bila wabunge wa kutosha atakuwa a paper tiger.

Kila mtu anaongelea Lissu, sisikii wabunge.
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.

Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Mbona wao CCM ukiwasikiliza wanajigamba sana?.Nini kinawapa matumaini hayo?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
ccm haiangushwi mwaka huu.

itaangushwa kati ya 2025,2030 au 2035


ispotokea i will loose faith in all mankind na nitajifunga jiwe kubwa shingoni kisha nitajitupa baharini
 
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda
Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Mama mnafiki huyu, kaambukizwa na JIWE hakuwa hivyo.
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.

Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Nothing lasts forever
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.

Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Maendeleo yana vyama
 
Mi kinacho nishangaza ni pale CHADEMA wanapotegemea watz ndio walinde kura zisiibiwe!kweli?hawa hawa waoga hivi???hapa sio Kenya !!labda Kigogo na Robert Amstadarm waandae kikosi kazi cha kijeshi cha kulinda kura zisiibiwe nchini!!!la sivyo ni utopolo fc kutegemea raia walinde kura!!!
Siwezi kupiga kura yangu na kurudi nyumbani kisha MAHARAMIA kama wale waliopora fomu za Wagombea Ubunge na Udiwani waje kufanya yao. Nitapiga kura na KUILINDA hadi mshindi halali atakapotangazwa pale pale kwenye kituo cha kupigia kura. Sawa sawa rafiki? CCM HOYE!
 
Iangushwe na na ni,Lissu huyu anayetaka kuigawanya Tanzania kwenye majimbo kwa maslahi ya mabeberu na anayetaka kuweka madini yetu poni,te,te,te,te,te,te,...........................
Tunataka mfumo wa shirikisho yaani majimboism kwani wananchi hawatendewi haki.

Kodi zao mtu mmoja anaamua kwenda kujengea kiwanja chake cha ndege kijijini kwake halafu mkihoji mnaletewa wasiojulikana. Shirikisho ndio itamaliza hii dhuluma.
 
Back
Top Bottom