Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda

Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Huo uharamia wa CCM kuwaengua wagombea wa vyama vingine, nao umechangia kuongeza hasira za wananchi dhidi ya mgombea wa CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda
Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Jinga kweli..wakina sisi hatuna kadi za vyama ndio tunaenda kuwashikisha adabu mafisadi msiojua kuongea kidhungu
 
..mara nyingi mgombea anayeshinda ni yule anayejibu hitaji la wananchi la wakati husika.

..katika uchaguzi huu wananchi wanalilia HAKI, na wanalilia maendeleo yao, na uchumi wao.

..CCM wamepuuza kilio hicho cha wananchi, na inaweza kuwa ndio anguko lao.
 
..mara nyingi mgombea anayeshinda ni yule anayejibu hitaji la wananchi la wakati husika.

..katika uchaguzi huu wananchi wanalilia HAKI, na wanalilia maendeleo yao, na uchumi wao.

..CCM wamepuuza kilio hicho cha wananchi, na inaweza kuwa ndio anguko lao.
Dhahiri !
 
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda
Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Umefatilia wamepitaje huko mikoa uliyo itaja kuna nini ambacho wananchi wamenufaika kwa maisha yao yabinafsi unatoka usingizini unaropoka tu ingekuwa kweli kwanini nguvu kubwa inatumika kuhakisha michezo michafu inachezwa kwanini hawataki tume huru wakati wanamtaji mkubwa hivyo haya ya usumbufu kuzuia mawakala sehemu zingine yanatoka wapi wakati anaehofiwa hana hatakata aliopita bilakupingwa?tuondolee ujinga huko kanda yaziwa ndiko wamechoma nyavu nakutozwa mafaini yakubambikiana nani anahabari nahuu wizi
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.

Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.


Natamani tu kuona Kule Zanzibar Maalum Seif akiifanya Zanzibar kuwa kama Dubai ,tununue bidhaa hapo Zenji nadala ya kwenda huko Asia.
CCM ikewatia umaskini wazanzibari umaskini kwa makusudi kabisa.

Lisu kaza bara kule wataachia. Maalim atatawala zanziba kwa miaka yake mitano na nchi itatulia mana kinachokosekana tanzania ni Haki sio amani mana Amani ipo tangu alipokuka mkoloni Mwingereza nchi yetu haikuawa tena na vita ya makabila wala dini labda CCM wakiwa chama cha upinzani wao ndio waingie msituni kuleta vurugu lakini mkoloni alituachia nchi yenye amani kwa amani.
Tusikubali uchochezi wa CCM kuwa eti wapinzani wakiingia madarakani kutakua na vita. Ujinga mtupu!
Vita itaanzishwa na Makaburu yanayoua watu ili yatawale kimabavu. Hapo ndipo uvumilivu utakapotowela
 
CCM mwaka huu hawatoamini kitakachowatokea tukitoka tarehe 28 asubuhi haturudi nyumbani mpaka Lissu atangazwe
Endelea kutunza hi comment yako, kesho tar 28 October utahamia kituoni Hadi Lissu atangazwe rais. Bado masaa machache tuu usikimbie jukwaani.
 
Back
Top Bottom