Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

Siwezi kupiga kura yangu na kurudi nyumbani kisha MAHARAMIA kama wale waliopora fomu za Wagombea Ubunge na Udiwani waje kufanya yao. Nitapiga kura na KUILINDA hadi mshindi halali atakapotangazwa pale pale kwenye kituo cha kupigia kura. Sawa sawa rafiki? CCM HOYE!
Hahahahaaaa utalindia silaha gani mkuu?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
CCM ikishinda mm nakunywa sumu
Tayari NEC wametupiga wapiga kura 29 milioni wanatokea wapi? Au ndio hizo zinazochapishwa na jamana! Ndugu tujiandae kuingia road anza kupasha maana safari itaanza tarehe 30
 
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda

Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Kwani hizo kata na ubunge ndo kura za urais???
 
Propaganda za Mnyika zapanguliwa na Tume ya Uchaguzi, endeleeni kula hayo matango pori. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wacha JPM awanyooshe mtakoma mwaka huu. ''Mlikolalia sisi ndio tumeamkia.''
 
Natunza hii tweet, Kuna mwenzako amesema atakuwa tayari kugeuzwa kinyume na maumbile.
Kwa taarifa yenu CCM inashinda .
Ya kwangu naomba uichukulie kama chai (chachandu) tu ya Jamiiforums. Usininukuu mkuu.
 
Propaganda za Mnyika zapanguliwa na Tume ya Uchaguzi, endeleeni kula hayo matango pori. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wacha JPM awanyooshe mtakoma mwaka huu. ''Mlikolalia sisi ndio tumeamkia.''
Hapana. Robert Amsterdam anafuatilia kwa makini suala la Jamana kuchapisha karatasi za kura. NEC inajichetua tu, ukweli utawekwa wazi ndani ya siku 7.
 
Unataka malaika waje kulinda kura? Kama siyo raia wa Tanzania, unataka watu gani tena waje?
Mi kinacho nishangaza ni pale CHADEMA wanapotegemea watz ndio walinde kura zisiibiwe!kweli?hawa hawa waoga hivi???hapa sio Kenya !!labda Kigogo na Robert Amstadarm waandae kikosi kazi cha kijeshi cha kulinda kura zisiibiwe nchini!!!la sivyo ni utopolo fc kutegemea raia walinde kura!!!
 
Kuwa na matamanio ni kitu kizuri, lakini kufikia ndoto na matamanio lazima kufanya kazi ya ziada, sio kwa kudhani dhani tuu.
Mpaka hivi sasa majimbo kama Rombo, Vunjo na Hai yameondoka upinzani na hakuna suala la kuibiwa kura kama wengi wanavyotaka kuwaaminisha Watanzania.

Hizi habari zinauma kwa wapenda mabadiliko lakini ni mwanzo mzuri sana wa upinzani hasa baada ya kupoteza ngome.

Upinzani wa kweli ndio unakuja makanjanja wanaondoka tutapata uongozi wa kweli upinzani.

NA TUTAPATA TRUE ALTERNATIVE GOVERNMENT 2025
 
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda

Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom