StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Hahahahaaaa utalindia silaha gani mkuu?Siwezi kupiga kura yangu na kurudi nyumbani kisha MAHARAMIA kama wale waliopora fomu za Wagombea Ubunge na Udiwani waje kufanya yao. Nitapiga kura na KUILINDA hadi mshindi halali atakapotangazwa pale pale kwenye kituo cha kupigia kura. Sawa sawa rafiki? CCM HOYE!
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app