Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Nothing lasts longer, sasa ni dhahiri CCM inaenda kuangushwa kwenye Uchaguzi huu

Kupit
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda

Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Hii kupita bila kupingwa lingetafutwa neno lingine walau itatusaidia kutotapika. Unapitaje bila kupingwa wakati wapo wanaokupinga? Labda semeni wameteuliwa na tume.
 
Jpm 2020/2025
JamiiForums-781136502.jpg
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.

Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Wewe kichwa chako kimejaa maji.Hivi mnavvowatia watu ujinga mitandaoni kwa kuwaaminisha mambo ambayo hayawezi kutokea,wapi mtaweka sura zenu baada ya matokeo ? Hivihivi mlibweka sana mitandaoni 2015 na kilichowapata ndicho kinawafanya mnapayuka ovyo ovyo mitandaoni mpaka leo akili zenu hazijakaa sawa..Hata kama mnalipwa,muoneeni huruma huyo anayewalipa.
 
Wewe kichwa chako kimejaa maji.Hivi mnavvowatia watu ujinga mitandaoni kwa kuwaaminisha mambo ambayo hayawezi kutokea,wapi mtaweka sura zenu baada ya matokeo ? Hivihivi mlibweka sana mitandaoni 2015 na kilichowapata ndicho kinawafanya mnapayuka ovyo ovyo mitandaoni mpaka leo akili zenu hazijakaa sawa..Hata kama mnalipwa,muoneeni huruma huyo anayewalipa.
Lowassa alipata zaidi ya kura mil 10 , aliyetangazwa alipata mil 3 .5 , kila siku siyo jumapili

angalia hii


2332550_matokeo_uchaguzi_3.jpg



Je umeelewa chochote ? kama hujaelewa nirudie somo
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.

Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Kwa kazi kubwa unayofanya kwa ajili ya mgombea wako Lissu ukijua akipata kura nyingi ni 10% , una haki ya kujifariji hapo kwenye keyboard yake kwa sasa kabla ya kushuhudia maumivu kwenye Sanduku la kura . Moyoni mwako unajua kwa uhakika unajifariji tu,ila ni muhimu sana kwako. Endelea hivyo, japo pole sana ndugu. Watanzania wameamua kwenda na JPM
 
Hii kanda ya ziwa unayoongelea inahusisha waliopokonywa pesa zao za rambirambi ya tetemeko na wale wa Geita waliochomewa nyavu zao? Maana hao ndio waliongoza kuikataa CCM hivi majuzi
Lissu anarudi tena huko kuwapanga upya. Ngoma inogile.
 
Hao walio liwa hela za rambirambi ni wangapi ?na na iyo geita waliochomewa nyavu ni wangapi? mnapiga hesabu za quadratic ambazo hatuzi apply in real life.
una kiwango duni sana cha elimu !
 
Huna lolote.kapata milioni 10 halafu anakuja kumpigia magoti Magufuli !
Mbumbumbu hata mkiwekewa ushahidi na wazazi wenu bado mtapinga, lowassa ana mipango yake ndio maana aliamua kula na kipofu
 
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda

Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Uko sawa huwezi kuwa unashindana halafu uanze kukiri kushindwa. Angalia mabondia na majigambo yao.
Simba na Yanga nk nk. Lakini nikisimamia ukweli yanayojiri sasa yanashangaza, hayakutegemewa na ccm au hata cdm. Ccm hawkutarajia upinzani mkali hivi na cdm hawakutarajia wananchi kuwaunga mkono kiasi hiki.
Leo naona hapa kwetu usiku huu gari la ccm likipita barabarani na miziki ya singeli kupaaza sifa zake na kunanga upinzani hii inatokana na hofu ya kinachotokea. Lissu anaendelea kushangaa namna anavopokelewa kila anakoenda. Hii yote haikutarajiwa na yeyote.
Kwa hivi jambo jema sio kunanga bali kuitambua hali halisi na kutafakari.
Ni vizuri tu ccm na cdm kikubaliana na Lissu kuwa uchaguzi huu ni mgumu. Sio Ccm au Cdm itashinda kwa urahisi. Numbers do change. Kukiwa na miti mia inaweza kubaki hamsini kutokana na kuzolewa na kombunga. So numbers do or may change. Aliye na ufahamu na afahamu. Kiburi si maungwana!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda

CCM itashinda

Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;

Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;

Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Mwaka huu lazima akili zako zirudi

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Acha kupotosha uma mkuu magufuli ana nyota ya Diamomd platnumz

Siasa bwana hebu acheni uongo hata kwa dakika tano basi!
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.

Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.

Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Nyakati ni ukuta. Babeli ilitawala dunia nzima lakini mwisho ulipofika hakukua na namna it was erased on world history
 
Kwani kila uchaguzi mnasemaga mmeshindwa kwa kura?? Si mnaliaga bao la mkono kila uchaguzi.......safari hiii mmejiandaaje maana tume bado ni ileile....kila kitu bado kipo constant kama zilivyokua chaguzi zilizopita.................sema tu naona mnatafuta sababu mapema za kujitetea baada ya kushindwa
Umeelewa swali au unajifanya Bashite?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom