Noti ya shilingi mia tano kubadilishwa kuwa sarafu

Skillionare

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
1,190
Reaction score
526
Baada ya noti ya shilingi mia tano kuwa kwenye mzunguko mkubwa hivyo kuchakaa mapema,benki kuu ya Tanzania imeamua kuleta sarafu ya shilingi miatano mwaka huu wa fedha inayotamiwa kudumu kwa miaka zaidi ya ishirini
============================================


 
Noti ya shilingi mia tano, shilingi ya shilingi mia tano!
 
ina alama ya freemason bora waitoe tu
_
_
 
Do they think that, that will boost up the economy?

By the way, is this Lowasa's project?
 
Mbona hata noti ya shilingi 1000,2000 nazo zinachakaa mapema na pia zinanuka
 
natabiri: kwenye wallet kutajaa misarafu tu mwaka 2025
 
hujaelewa nini

noti ya 500 imeandikwa 'FEDHA HALALI KWA MALIPO YA SHILINGI MIA TANO' wewe unasema noti ya mia tano inaondoka inakuja shilingi. Shilingi iyo inayokuja ikoje? maana hata noti elfu ya elfu kumi...10,000/= ni shilingi.
 
Uchumi wetu unapanda kila mwaka.Je ni kweli unapanda kama mpaka shilingi mia tano inawekwa kwa mtindo wa sarafu? Hii ni hatari sana.
 
Tunako elekea Buku kuwa sarafu muda sio mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…